Hata wauze 1m kuna mtz anawez kununua, maana wanasubiri mpka zishuke
kwa bei hiyo, ina maana hiyo simu ina kituo cha polisi humo humo? Ili isiibiwe
Hata wauze 1m kuna mtz anawez kununua, maana wanasubiri mpka zishuke
Ila all in all, s5 haijaongezeka chochote kile zaid ya ukubwa kidogo! M natumia note 3, s5 na note 3 mara 10 mtu achukue note 3 na sio s5 coz note 3 iko juu sana kulko s5
Kimenuka.