Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
So mkuu nikikopa 10mil kwa mwaka tiba yake itakuwa 96%.....Hiyo riba 7.5 to 8 % ni per month acha kuibia watu humu. Hiyo mikopo yenu ni ya usanii mwingi hasa kwenye riba. Kwa anayetaka akope at own risk msije kurudi humu na kuanza kulia
so riba nitakayolipa kwa mwaka itakuwa 9.6mil. .....dahh...
kwahiyo nikikopa milioni 10 natakiwa kukupa mil 19.6 kwa mwaka.
hatareeeeeeee