Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Yooote hiyo kutafuta usawa na wanaume!!? Inasikititisha sana kutojikubali
Hatutafuti usawa Bali tunarahisisha tu kaziYooote hiyo kutafuta usawa na wanaume!!? Inasikititisha sana kutojikubali
Endeleeni na hizo jeuri, men wanaona heri changudoa kuliko wifeHatutafuti usawa Bali tunarahisisha tu kazi
Gentlemen hawezi kuwa na mawazo kama hayo yako.Endeleeni na hizo jeuri, men wanaona heri changudoa kuliko wife
Hahaha hata wanawake wanaona heri changubobu kuliko husbandEndeleeni na hizo jeuri, men wanaona heri changudoa kuliko wife

Baada ya shughuli nikuchuchumaa na kujisafwisha kwan tatizo liko wapHizo ni kwa wale waokojoa kuvaa na kuondoka bila kujisafisha... Ila kwa mwanamke msafi lazima achuchumae kujisafisha baada ya haja ndogo...
Mantiki ya hicho kifaa ni wasichuchumae...Baada ya shughuli nikuchuchumaa na kujisafwisha kwan tatizo liko wap
Swadaktaaa gentlemen hawezi kabisaGentlemen hawezi kuwa na mawazo kama hayo yako.
Baize wei namtuwacheeMantiki ya hicho kifaa ni wasichuchumae...
Unapenda kukojoa wima?Baize wei namtuwachee
Ndiyo huwezi sasa... lazima uchuchumae na kujibinua,,, Jibadilishe na kuwa mwanaume...Aiseee napenda![]()
![]()
![]()
Ndiyo huwezi sasa... lazima uchuchumae na kujibinua,,, Jibadilishe na kuwa mwanaume...
