Pata mashamba ya miti (laki moja na nusu kwa ekari)

Muislaam

Senior Member
Jul 29, 2013
129
43
Habari! Tukiwa tunelekea msimu wa kupanda miti. Nina Shamba nauza
-lina ukubwa wa Ekari 150.
-Lipo kijiji cha UCHINDILE mkoani IRINGA.
-Kuna Barabara inafika hadi shambani.
-Linafaa kwa miti aina ya pines au milingoti na Ufugaji.
-Vitalu ya miche vinapatikana karibu na shamba.
-Limepimwa na Lina hati..

Kwa anayehitaji Kuanzia Ekari 30 na kundelea tuwasiliane kupitia 0743071138 au PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…