MOLLELPIXELS
Member
- Sep 23, 2012
- 38
- 7
KARIBUNI SANA
mh... una program za kutengeneza cartoo.?... iwe cracked au with serials.............. help on that mkuuu
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::majani7::shut-mouth::target::bowl::fencing::cheer2::laser:![]()
Kwako una software ya kuchakachua modem zenye tech ya cdma kama ttcl na zantel kutumia line zote?
hapo hata uroge hutoweza kuweka line ya voda,tigo, Airtel wala zantel zinazo tumia GSM kwenye modem ya CDMA, nisawa na kulazimisha radio ya FM ishike mawimbi ya AM
nacho taka kusema nikwamba modem ya CDMA haiwezi soma line ya GSM kwasababu zinatumia technology tofautiila AM unaweza force ikadaka mawimbi ya FM