kicharazio
Member
- Jun 25, 2013
- 10
- 2
Vip moro tutapata ?
Wadau ukihitaji huduma ya kupata Channel Zote zinazoonyeshwa na DSTV kwa gharama ya Tsh. 200,000/= tuwasiliane. Furahia Ulimwengu wa DSTV kwa bei nafuu ambapo hutapata popote pale. Huduma hii inapatikana Arusha, Dar es Salaam, Mwanza & Mbeya.
abudhabi hawana football kwa sasa mpaka miaka mitatu ijayo labda wanaweza kupata tena kwa sasa ni aljazeera sport kwa middle east ndo wanaoonyesha football, huduma pekee yenye kukuonye d*tv kwa ghalama nafuu na uhakika ni xmaster inakupa mwaka mzima buure kwa 270,000 tu huku ukiangalia channel zote buure full hd.
Mi yangu inatumia Card mbili ya Alazeera na hiyo ya Abu Dhabi nililetewa inapiga mzigo kama kawaida mkuu,,hao Xmaster nao ndio wa wap mkuu?
Wadau ukihitaji huduma ya kupata Channel Zote zinazoonyeshwa na DSTV kwa gharama ya Tsh. 200,000/= tuwasiliane. Furahia Ulimwengu wa DSTV kwa bei nafuu ambapo hutapata popote pale. Huduma hii inapatikana Arusha, Dar es Salaam, Mwanza & Mbeya.
Hacha kuzingua watu humu wewe underground ebu nenda jukwaa la kina mama kule Manina zako KRAPKA DAVINOOOOO!!!!!Wadau ukihitaji huduma ya kupata Channel Zote zinazoonyeshwa na DSTV kwa gharama ya Tsh. 200,000/= tuwasiliane. Furahia Ulimwengu wa DSTV kwa bei nafuu ambapo hutapata popote pale. Huduma hii inapatikana Arusha, Dar es Salaam, Mwanza & Mbeya.
ni receiver zenye cccam account inayoweza kukupa channel za aljazeera aport na d*tv buure bila malipo ya mwezi.
namtafuta kinoma kweli sijamuona sijui yupo wapi...:A S-confused1::A S 39:Jamaa kaingia mitini!
mimi nipo songea na nahitaji hii huduma, msaada please.
mimi nipo songea na nahitaji hii huduma, msaada please.
zinapatikana my no 0776996593
hebu eleza vzuri,unatoa service kama ya jamaa alyesepa na vp bei yake?
Wadau ukihitaji huduma ya kupata Channel Zote zinazoonyeshwa na DSTV kwa gharama ya Tsh. 200,000/= tuwasiliane. Furahia Ulimwengu wa DSTV kwa bei nafuu ambapo hutapata popote pale. Huduma hii inapatikana Arusha, Dar es Salaam, Mwanza & Mbeya.
Hacha kuzingua watu humu wewe underground ebu nenda jukwaa la kina mama kule Manina zako KRAPKA DAVINOOOOO!!!!!
Mkuu kumbe hizi hasira zako hazijazeeka bado!