Pata bitcoin kwa njia ya uchimbaji

hii kitu zamani niliwaza kuifanya sema kwa umeme wa africa na hasa Tanesco unaweza kuishia kulipia bili tu, hizo mashine zinakula umeme hasa hiyo latest Antimimer S9 nahisi wewe unayefanya mining utakuwa haupo bongo
 
Ndio maana hasa naitaka hiyo na vile vile wamiliki wa mfumo wanajulikana hawa waheshimiwa wa Bitcoin wameamua wao wasijulikane na wala zawadi hawapokei inakuwa ngumu kujua identity yao ingawa hamna ubishi cypocurrency ndio currency ya internet.

Uzuri mwingine wa Ethereum, iko chini sasa, ukiiwahi sasa, ikipanda unapanda nayo sana tu.
 
Ndio maana hasa naitaka hiyo na vile vile wamiliki wa mfumo wanajulikana hawa waheshimiwa wa Bitcoin wameamua wao wasijulikane na wala zawadi hawapokei inakuwa ngumu kujua identity yao ingawa hamna ubishi cypocurrency ndio currency ya internet.
Juzi nilikuwa nasikiliza BBC World Service kama kawaida yangu.

Kuna dogo mmoja walikuwa wanamuhoji haya mambo ya Bitcoin, yeye alianzisha exchange ya Bitcoin miaka ya mwanzo mwanzo kabisa, kuna wakati a third of all bitcoins zilikuwa zinauzwa na mtandao wake.

Yule dogo alikuja kuwa implicated kwamba kahusika kuwauzia wahalifu Bitcoin.

Sheria za Kimarekani zilivyo kali, mhalifu kashtakiwa, mpaka aliyemuuzia mhalifu Bitcoin naye kashtakiwa, dogo alikuja kufungwa.

Matthew Bannister akamuuliza kama alijua kwamba anawauzia wahalifu, nikafikiri dogo atakanusha, akasema ni kweli alijua.

Ila kamahauna exchange ya kuuza, kuwa implicated ni vigumu, kwa sababu watu wengi mostly wananunua, na hata ukiuza kama mtu mmoja tu asiye na exchange, huna liability kama mtu mwenye exchange.
 
Bitcoin is a bubble they say,halidumu litapasuka muda si mrefu,ila haki ya mungu ningekua na hata million ambayo niko tayari kuipoteza ningenunua.
 
mm naitaji
 
Kamari ni hatari kwa Afya yako.
Bora nibaki kwenye ulofa wangu kuliko kujiingiza kwenye mavuno yasiyo halali.
 
Ahsante mimi naomba kujua beo ya kichimbio cha Ethereum. Naiependa zaidi hiyo kwasababu ambazo kwa sasa haziko wazi ila kwa moja kubwa wamiliki wanajulikana ila hii ya Satoshi Nakamoto nitanunua kidogo kidogo. Ila nataka nifocus kwenye Ethereum.
Mkuu ulifanikiwa kumiliki Etherium?
 
Imefika $45,900 watu wanaona ndogo sasa
 
Duuuh sasa miner reward ni 6.25BTC
 
Uzuri mwingine wa Ethereum, iko chini sasa, ukiiwahi sasa, ikipanda unapanda nayo sana tu.
Daaah mkuu,kuna watu pia watakuja kuikuta ADA ipo USD 300,TRON ipo $ 10 ni suala la muda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…