Pata bitcoin kwa njia ya uchimbaji

Duh, aisee,
Nadhani hapa shule inahitajika zaidi, maana naona kama ndio nazidi kutoelewa kuliko kuelewa.
Hizo BTC 21Mil alizi-set nani sasa??
And why 21Mil only??
The way alivyoweka hizo 21Mil za mwanzo why asiziongeze zaidi kama zimeshavunwa 80% na anajua zikiisha italeta shida?
Na ni nani huyo mtu??
 
Okay, kuna maelezo marefu kdg pamoja na mahesabu ndani yake. Kwa kifupi, kila baada ya saa moja block 6 huvumbuliwa kwenye bitcoin. Zidisha mara saa 24 za siku, zidisha mara siku 365 za mwaka alafu zidisha mara miaka minne ya blocl reward. (*block reward ni kiasi cha malipo in BTC ambazo miner wanalipwa. Hivyo kila baada ya miaka minne (4) block reward inapungua kwa asilimia 50. So ilianza kwa malipo ya BTC 50 kwa kila transaction mwaka 2008, ikapungua kuwa 25BTC mwaka 2012, ikapungua kuwa 12.5 mwaka 2016, itapungua kuwa 6.25, mwaka 2020 nk) hivyo kufanya jumla ya kuwa 210240. (Yaan 6x24x365x4)

Ukijimlisha hizo reward yaan 50+25+12.5+.... Mpka ziishe utapata jumla ya 100. So 210240x100 utapata 21,024,000.
 
Mtoa Mada nauliza kati ya blockchain na localbitcoin ipo iko poa sana?
Unaweza kua na account katika zote mbili, Lakini Lacalbitcoin ndio imepenyeza zaidi kuliko blockchain, siisomi blockchain kipande hii ila localbitcoin inasomeka vzr tuu
 
Mfumo wa kiteknolojia umejengwa ambao wenyewe unarespond to the stronger computational power;the computational power inturn is determined by time and electricity kwa maneno mengine Fedha; Bitcoin as a reward is that response; niufananishe huu mfumo na electronic games, the score depends on whether someone plays or not; a score is a result of playing the game.

Games zinatengenezwa kua na kiwango fulani cha mwisho cha score, lakini score inapatikana tuu pale mtu anapocheza. Vivyo hivyo na system ya bitcoin no one has all the bitcoins,hata mvumbuzi mwenyewe, Mvumbuzi/wavumbuzi wamefanya kazi ya kujenga mfumo tuu peke yake.BTC mpya kwenye mzunguko hutengenezwa tuu mtu anapofanya hili zoezi la uchimbaji, otherwise wavumbuzi kumiliki BTC's would destort the whole purpose of bitcoin i.e decentralization of currency.

Hivyo ni mfumo ambao umejengwa kwa namna ambavyo Matokeo/score /reward inatolewa pale tuu mtu anaposhiriki katika zoezi hili la uchimbaji. Hivi ndivyo uchimbaji unavyofanya kazi mkuu.

Nadhani hili suala la limit ya hizi BTC's hata kichumi inaleta maana hasa ukizingatia historia ya fedha...tatizo kubwa la uchumi tulilo nalo sasa hapa duniani ni kuongezwa kwa noti kwenye mzunguko wa fedha zisizo na Back up yoyote ya thamani/dhahabu.Nadhani hii ni fani yako kutokana maandiko yako hivyo nadhani unaelewa zaidi...wanapozungumzia financial bubble, mimi hua nafikiri kama sio pekee hii ni mojawapo ya sababu za hicho kitu kinachoitwa financial bubble, fedha zisizo na back up ya thamani.

Swali lako la pili Uchimbaji sio transaction, Mining ni kitendo cha kurecord bitcoin transactions katika kitabu cha historia ya trasactions zinazofanyika kwa kutumia bitcoins. Kitabu hiki ambacho kila mtu mwenye computer anaweza kuandika (kwa sasa uandishi wenye faida ukiwa umejiunga na wengine wanaofanya huo uandishi~a pool) tofauti yake na mfumo wa sasa wa kibank kitabu hiki ni cha kadamnasi/ public, mfumo wa kiteknolojia/ Protocols zimejengwa ndani ya mfumo huo, (mojawapo ndio kama hio ya ulazima wa kutumia Umeme na Muda=fedha) zinazowezesha uandishi kukubalika au kutokubalika...hili ni kwa lengo la kudhibiti conterfeiting kutokana na kwamba kila mtu na sio benki peke yake ana fursa ya kuandika kitabu hiki cha historia ya transactions.

Undishi wa historia hio ya transactions unapothibitishwa kufanyika ktk protocol zilizojengwa ndani ya mfumo huu uchimbaji/uandishi unazawadiwa BTC's.

Ukishachimba unaweza kufanya transactions yoyote upendayo.Tokea Hapa sasa naamini kanuni zote ya fedha na mabadilishano ya thamani zinafuatwa kama kawaida kabisa.

Kwa maelezo haya hope atleast unausoma mchezo kwa namna fulani.

Kumradhi kwa kuchanganya lugha.
 
Loo leo nimeingiza kitu muhmu sana maishan mwangu hili somo nilkuwa nafuatilia sana lkn ckuwa nmelielewa vema leo nimefumbuka pakubwa asante sana mkuu
 
Sasa hpo mkuu nmepiga maheaabu hasa hyo miner bei ghal sana $3100 du parefu balaa
 
Na vip mtu akihitaji anapataje na atawezaje kuvitumia
 
Ahsante mimi naomba kujua beo ya kichimbio cha Ethereum. Naiependa zaidi hiyo kwasababu ambazo kwa sasa haziko wazi ila kwa moja kubwa wamiliki wanajulikana ila hii ya Satoshi Nakamoto nitanunua kidogo kidogo. Ila nataka nifocus kwenye Ethereum.
Uzuri mwingine wa Ethereum, iko chini sasa, ukiiwahi sasa, ikipanda unapanda nayo sana tu.
 
Sasa hpo mkuu nmepiga maheaabu hasa hyo miner bei ghal sana $3100 du parefu balaa
Sasa mkuu kakwambia katika muda mfupi tu karudisha karibu 10% ya hiyo miner, tena si kwa ku mine 24/7.

Kulikuwa na wakati mining ilikuwa haina deal (mgano bitcoin ilipokuwa under $600) ila bei inavyopanda ndivyo mining inavyokuwa deal.
 
Sasa hpo mkuu nmepiga maheaabu hasa hyo miner bei ghal sana $3100 du parefu balaa
Duuh asee ndugu hii bei ni outdated tunapozungumza sasa. Bei imeshafika $3,650 sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…