Pastor awavulisha nguo waumini

Pastor awavulisha nguo waumini

Asante tangawizi
Lord have mercy..

kuna rafiki mmoja kutoka Australia aliwahi kuniambia kwa tasfri isiyo rasmi..waafrika as long as wanaamini katika uchawi na giza akitokea mtu na akawaaminisha uwepo wa nuru basi watafanya lolote kupata nuru hiyo..akamaliza kwa kusema having a bilble in Africa is like holding half billion cheque in your account..

Poleni sana Vitunguu swaumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamani haya hata kama kuna uhuru wa dini basi this is 2 much! na serikali ipi tuu maskini buinadam siye!!
 
Nimeangalia kwa makini hizi picha hasa inayomhusu huyu anayedaiwa kuwa pastor, kwa muono wangu naona hizi picha zimechanganywa (editiwa) kwa uwezo wa hali ya juu.
Hiyo picha aliyokaa juu ya mtu aliyelala ndiyo imenishitua, inonekana ni photoshop tu. hata hiyo mguu uko juu ya mwanaume naona ni photoshop tu, mguu ukanyage kwenye mwili halafu hata pasibonyee?
haya yatakuwa ni matukio mawili au matatu tofauti ila yameungwaungwa tu kutoa picha mbaya.
 
Back
Top Bottom