habari ndugu zanguni mlioko jamvini. Baada ya kutafuta ajira bila mafanikio nimefikia kuanzizisha twishen centre yangu. moja ya resource ninayoitegemea ni past papers za national form two na national form four hivyo ninaomba kwa yeyote mwenye kujua website yenye hizo past paper anijuze. atakuwa amenisaidia sana. ahsante nawasilisha.