Passo chases
Cc 990
2005
Silver
Km 40000
Piga simu 0656 43 66 62
Mzigo mpichii wahi uchukue gari
Hii GARI naweza kwenda nayo Mwanza?
Hapana mkuu
Anaweza kwenda bila tatizo hata BukobaHapana mkuu
Hii GARI naweza kwenda nayo Mwanza?
mwanza hapo tu, why isiende??
magari ya aina zote ya zambia, malawi, congo yanashukia bandari ya dsm kama transit cargo.
na baada ya kushuka bandarini yanaendeshwa na madereva wa IT mpaka nchi zao ( final destination).
sasa piga hesabu safari ya dar mwz km 1200 na safari ya dar lusaka, dar-lubumbashi, dar-blantyre, wapi nu mbali??
maana passo kila siku zinashuka bandarini na zinaendeshwa mpaka final destination
Kwanini haiwezekani mkuu?
Nimewahi kwenda nayo dodoma ilibidi nifike chalinze tukapumzika 1hr,kufika morogoro tukapumzika 1hr,kufika Gairo tukapumzika 1hr ndio tukamalizia Dodoma
Kiufupi engine yake ni ndogo sana inachemka haraka sana.
Sasa wakati narudi DSM nikaamua kuikimbiza fasta maana nilichelewa kuanza safari basi ile naiacha Moro tu ikazima.kucheki control box imepata short,na vitu vidogovidogo vimezingua.
Aisee ya kweli haya?
Nimewahi kwenda nayo dodoma ilibidi nifike chalinze tukapumzika 1hr,kufika morogoro tukapumzika 1hr,kufika Gairo tukapumzika 1hr ndio tukamalizia Dodoma
Kiufupi engine yake ni ndogo sana inachemka haraka sana.
Sasa wakati narudi DSM nikaamua kuikimbiza fasta maana nilichelewa kuanza safari basi ile naiacha Moro tu ikazima.kucheki control box imepata short,na vitu vidogovidogo vimezingua.
Juzi kati nilikua natafuta ball joint za Passo asee haziji kama ball joint ila zinakua Complete na mikono ati laki unusu kwa moja duh!
Aisee ya kweli haya?