Powells Dady
New Member
- Aug 29, 2016
- 2
- 3
Guys naomba anaefaham anielekeze hatua ya kwanza hadi mwisho unapohitaji passport ya kusafiria nje, na unatakiwa uwe na viambatanishi gani, pia ofic husika ziko wap
Nko dsm.
Nko dsm.
-cheti chako cha kuzaliwa,kitambulisho cha taifa(hiki ndicho muhimu sana),vyeti vya kuzaliwa vya wazazi,sababu ya kuomba hiyo hati,hapo napo ni inshu,lazima uwe na sababu kama ni matibabu cheti kinatakiwa,matembezi barua ya mwaliko.Guys naomba anaefaham anielekeze hatua ya kwanza hadi mwisho unapohitaji passport ya kusafiria nje, na unatakiwa uwe na viambatanishi gani, pia ofic husika ziko wap
Nko dsm.