Passport urgent

Passport urgent

momtwo

Member
Joined
Oct 16, 2014
Posts
21
Reaction score
0
Habari wadau nisaidie kupata passport ya haraka tafadhali. anahusika anitumie namba ' matapeli kaeni mbali "mjini hapa
 
Tanzania kuna maajabu , yaani mdau unakuja kuomba passport JF , eti ukisisitiza kuwa wakupatie mapema.? kweli ? napata wasi wasi hata huko unakoenda kama unaenda kwa wema , coz passport ni mali ya serikali na inatolewa na mamlaka za serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania tu na sio mamlaka ya jmhuri ya JF. Hebu nenda uhamiaji kafate taratibu hata za kupata emergence passport kama una haraka kwani haichukui hata siku 2 kuipata.
 
nimefurahishwa na ulivyomjibu ni vyema mkuu umefanya flesh
Tanzania kuna maajabu , yaani mdau unakuja kuomba passport JF , eti ukisisitiza kuwa wakupatie mapema.? kweli ? napata wasi wasi hata huko unakoenda kama unaenda kwa wema , coz passport ni mali ya serikali na inatolewa na mamlaka za serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania tu na sio mamlaka ya jmhuri ya JF. Hebu nenda uhamiaji kafate taratibu hata za kupata emergence passport kama una haraka kwani haichukui hata siku 2 kuipata.
 
Tanzania kuna maajabu , yaani mdau unakuja kuomba passport JF , eti ukisisitiza kuwa wakupatie mapema.? kweli ? napata wasi wasi hata huko unakoenda kama unaenda kwa wema , coz passport ni mali ya serikali na inatolewa na mamlaka za serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania tu na sio mamlaka ya jmhuri ya JF. Hebu nenda uhamiaji kafate taratibu hata za kupata emergence passport kama una haraka kwani haichukui hata siku 2 kuipata.

Mkuu kwa jinsi ulivyo mjibu ni kama Tanzania umeisahau kidogo.

Mimi hizo passport kupata ndani ya siku mbili nasikiaga kwa watu tu.Mwaka Jana nilifuatilia passport ya mdogo wangu ilichukua mwezi tatu kasoro nilikuwa napigwa calendar tuu.

Na hata ya kwangu hivyo hivyo kipichi nyuma sijawahi pata passport chini ya wiki mbili na nusu....Nazani ni kwasababu CJUI KUTOA RUSHWA japo natamani huwa nawaza naanzaje kuwaambia cjui chukua hii Rushwa ata sielewi AM ALWAYS STRAIGHT FORWARD.

Sasa nazani mkuu kaja uku ili wale wanao toa/walio fanyiwa mpango huo kwa muda mfupi wamuunganishie na yeye afanye fasta maana hao maofisa wapo pia huku JF.

Tusiojua/Waoga kutoa RUSHWA nchi hii huwa tunapata tabu sanaa maana huwa nazungushwa balaah na sababu kibao ambazo hazina logic
 
Mkuu naona unatafuta kutapeliwa,mbona kuna thread nyingi tu zinaoleza jinsi na wapi passport inatolewa.Ungejaribu kutembelea hizo thread upate maelezo.
 
Back
Top Bottom