Yeah ila...Mbona hata hapa kwetu inawezekana kwa siku moja tu
Wakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi
Inashangaza kuona wasomi wa sasa waliotembea nchi za watu bado wamekubaliana na mawazo ya wazee waliopiti ambao walitengeneza mifumo ya kumbana mwanachi ktk swala hilo. Yaani mlolongo mreeeefuMfumo umetengenezwa kuzuia wananchi wasipate pasipoti ndio maana wanataka barua ya kazi, mwaliko, shule nk ili upewe pasipoti.
Inashangaza sana kwa kweli
Sisi passport size ni dk 3 nadhani tunastahili tuzo sasaWakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi
Mbona hata hapa kwetu inawezekana kwa siku moja tu
Mwenye uwezo wakunisaidia kupata passport ndani ya wiki naomba aje pm.
Nje ya mada,
Huko uhamiaji bado wana ujinga wa kufatilia mavazi na kurudisha watu?
ningekupa mtu wa uhamiaji pale posta yani masaa tu sema ndo hvyo skujui usijekuwa wale wale ukaharbu kaz za watuMwenye uwezo wakunisaidia kupata passport ndani ya wiki naomba aje pm.
Bongo nchi ya kishamba sana kwenye ukanda wetu ,wanadhani passport ndio mwisho kumbe kuna Visa/Resident permit ya huko uendako.
Wakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi
Wakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi