Tena wanasema kila siku kuwa CHADEMA imekufa...Si,wanasema CDM imeshakufa ?
Mayalla kamzidi Lukuvi miaka mitatu ni Mzee sanaYeye ni msemaji wa Chadema
Uchaguzi walishiriki wenyewe Wala Chadema haikuwepo , Maridhiano wanashindwaje kushirikiana na ChaumaTena wanasema kila siku kuwa CHADEMA imekufa...
Nadhani ni kabila, wote ni Ulimola MayoMayalla anaga tofauti na Makonda anajipaga umuhimu sana kwenye masuala amabayo hata yamemzidi anajipa ukubwa huo
Akijibu nistueUnaposema wajishushe maana yake wapo juu. Sasa jee CHADEMA watapata faida gani kwa kushusha thamani yao?
Pascal mayala fanya maridhiano na chama chako Cha ccm au unafikiri tumekusahau kuwa wewe ni mwanaccm.
Aliambulia kura 1 ya maoni unaambiwa hata mkewe alimtosaPascal mayala fanya maridhiano na chama chako Cha ccm au unafikiri tumekusahau kuwa wewe ni mwanaccm.
😁😁😁Mayalla anaga tofauti na Makonda anajipaga umuhimu sana kwenye masuala amabayo hata yamemzidi anajipa ukubwa huo
Usicheke Mayalla sasa yeye ni nani kwenye nchi hii mpaka kusema chadema wajishushe?