Paschal Casian: Nampa Christina Shusho miaka mitano tu atakuwa amezeeka

Mnamshambulia mwamba kama kaua vile, kwan kasema yeye hatazeeka? Tina atazeeka tena miaka mitano mingi, mm nampa miwili tu.
 
Sina knowledge kubwa sana kuhusu haiba za watu ila kwa 80% huyu ni Muha toka kigoma .

Kuhusu aliyoongea sina comment kama walio comment hapo juu. Mimi sipingi wala siungi mkono.
Kila mtu aacjwe na kile anachoamini.
Keshasema ni dada yake! Ingawa ana rafudhi ya kihaya!
 
Wanaume nchi hii wanazidi kuchanganyikiwa kila siku!! Shida ni gani 🤷🤷🤷
 
Back
Top Bottom