Huyu idiot. Yaani tz tuna mfumo dume sanaPaschal Casian: Nampa Christina shusho miaka mitano tu atakuwa amezeeka.
View attachment 2993818
Mfumo dume unaingiaje hapa?Huyu idiot. Yaani tz tuna mfumo dume sana
Bwrge na mbwa koko kabisa. Wanamshambulia tina sijui wamekosa cha kufanyaHuyo jamaa ni bwege sana
Keshasema ni dada yake! Ingawa ana rafudhi ya kihaya!Sina knowledge kubwa sana kuhusu haiba za watu ila kwa 80% huyu ni Muha toka kigoma .
Kuhusu aliyoongea sina comment kama walio comment hapo juu. Mimi sipingi wala siungi mkono.
Kila mtu aacjwe na kile anachoamini.
HAna lafudhi ya kihayaKeshasema ni dada yake! Ingawa ana rafudhi ya kihaya!