Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

🙏 😀😃😄😁😆😅😂🤣😍
 

😀😀😀
 
Frankly speaking Mimi namkubali sana Pascal Mayalla kuna siku huwa natenga mda kusoma mandiko yake tu .
Ni kati ya watu makini sana bahati mbaya kuna watu hawampendi Sababu yeye ni msema ukweli. Na ukweli sio jadi yetu Watanzania tulio wengi .
 
Mh... Huo mpambano mbona watu wawili tofauti !?
Hapo kuna mchumia juani na mchumia giani
 
Kuna mmoja ni master of all Trade wakati mwengine ni politician tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…