Part-time job kwa vijana wa Dar

Part-time job kwa vijana wa Dar

Software Engineer

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2014
Posts
344
Reaction score
137
Tunahitaji vijana watakaosaidia marketing team yetu katika kukusanya na kuandikisha taarifa za Bajaj katika vituo mbalimbali jijini dar es salaam.

MALIPO
Utalipwa kwa siku kwa kila Bajaj utakayoandikisha

Utapewa fedha za nauli na chakula (nje ya malipo ya kazi)

VIGEZO
Lazima uwe na uwezo mzuri wa kuzungumza na wadau wenye uwezo na uelewa tofauti tofauti katika kuchanganua mambo.

Uwe mwaminifu (e.g.usitoe taarifa za uongo ili kuwavutia wadau wanaotakiwa kujiunga)

Uwe una uelewa wa maeneo ya jiji la dar es salaam


JINSI YA KU APPLY
Tuandikie kupitia e-mail hii: info@grabcityinfo dot com

Maombi yatumwe kabla ya tarehe 18 mwezi 11 2015.
 
wawekee namba yako ya simu wakucheki hewani, hizo emails usumbufu.
 
Weka vzur email yako uwasaidie vijana wenzio
 
yaani unamaana kwamba mtu akitumia hyo software anauwezo wa kukodi bajaj toka mahali flani kwa kutumia hzo info ya huyo dereva?
 
Mkuu Unataka Uanzishe Uber ya Bongo ama nini.

Kila la kheri
 
Back
Top Bottom