Wanajamii nina rafiki yangu ni amo yaani assistant medical officer anatafuta tempo baada ya kazi...ikipatikana hata kuanzia saa nane hadi sa 12 jioni ni poa...anaattend wagonjwa wote na anafanya operation zote...kwa kifupi ni mzoefu sana...yuko serikalini kwa sasa.....nashukuru kwa msaada wowote