alafu wewe slim huyo mtu aliyekuwa anagonga mlimfungulia wa nini?yani nilivyokuwa nasoma harakaharaka nikitegemea kufikia mwisho,haya mambo ya dada yake,sijui kufanya mazoezi ,sijui kupika na kula mi siyataki,embu ifupishe iishe wajameni,mbona wanitesa hivi na hii story
Yani sometimes unanikera basi tu sina jinsi
Sawa mkuu Blessed
Mkuu mm nakatikatika! wisu umetisha!