braza makaptula
Member
- Dec 13, 2011
- 54
- 13
Ni kweli watanzania tunahitaji kukusanya kodi kwa maendeleo; lakini kwa utaratibu huu ulioanza hivi karibuni maeneo ya stendi kuu na stendi ya Viford (daladala) ni mpya na sidhani kama una tija au kuneemesha baadhi ya vingunge, yani wafanyakazi wameanza kuingia kwa shift na ni masaa 24 sasa, wana JF tulisemee hili