class75
Member
- Sep 11, 2017
- 72
- 138
Acha kumfananisha messi na vitu vya kijinga..messi kabaki kama shetani na ndevu zake kule barca,anatanan mbape na neymar wangekua barca
Alikuwepo kabla ya neymar na ataendlea kuwepo baada
Acha kumfananisha messi na vitu vya kijinga..messi kabaki kama shetani na ndevu zake kule barca,anatanan mbape na neymar wangekua barca
Small team hii na isiyokua na influence financially (football sio from Qatar ) , globally,historically etc
Hata thread ndio maana ikachekewa kuanzishwa na mbaya zaid uchangiaji umekua slow
nimeona halafu ni second time wanafanya hii na bado ,Messi hadi roho yake safi ,amemkosesha sana hatrickJana Neymar na Cavani wanagombania Penalty na Free Kick. Twitter ikamkumbusha Neymar kuwa, Cavani is not Messi, aliyekuwa radhi kuacha kufunga Hat trick ili Neymar naye afunge. Search twitter Cavani neymar uone
These front three are as good as any other team in the World.Mbappe, Cavani na Neymoney (Neymar) wapo katika kutengeneza "the Trident of their own" (MCN). Kwa usajili walioufanya msimu huu wa 2017/2018, PSG itakuwa ni miongoni mwa timu ambazo zitatazamwa kwa ukaribu sana katika Champions League na katika Ligue 1. Kwa kuwa bado timu hii haina mashabiki wa kutosha hapa Tz, si vibaya wale "plastic Fans" wanaohamia timu kutokana na majina ya wachezaji kutumia uzi huu kuwafuatilia kwa ukaribu MCN. Karibuni
Moderator
We shall see what they are made of
Team kubwa nenda Senegal,Guinea konakry,Ivory coast,Benin na nchi zingine zilizowahi tawaliwa na France ndo utaelewa kuwa PSG ina washabiki.Small team hii na isiyokua na influence financially (football sio from Qatar ) , globally,historically etc
Hata thread ndio maana ikachekewa kuanzishwa na mbaya zaid uchangiaji umekua slow
Ni shida kabisa...Ila Mbappe ni kiboko huyu mtoto mwenye 18 yrs tu.
Wale waliotupiga 6 lazima turudishe mwaka huu...