Paradox: Mgomo wa MDs unawadhuru Wangonjwa; Kufutia Usajili MDs kunasaidia wagonjwa!

Kwanza mtoa mada kasema ni tetesi so naomba mwenye habari za kuaminika atumwagie jamvini kama kuna ukweli wowote katika hili.Pili nadhani ni uamuzi mzuri sana na wenye busara ameuchukua huyo Dr (Kama kweli) kuliko kushawishi wenzake wagome halafu mwisho wa siku kila mtu anakufa kivyake kama hali wanayoi-face ma-intern kwa sasa.
 
na wengine wanaenda kazini lakini hawatoi huduma. Wanazunguka corridor hadi muda wa kutoka kazini. Mwingine anasimulia hospitali ya mkoa haina chumba cha upasuaji, kazi yake kuandika rufaa, amekata tamaa ya kazi,

Si waache kabisa wasiende kazini. Sasa unaenda kazini halafu hufanyi kazi maana yake nini si unawatesa raia wasio na hatia. Wapambane na serikali siyo kupambana na raia wasio na hatia.
 
Mimi nadhani viongozi wetu wana ubia na hospital za Private ndio maana hawajali watu watatibiwa wapi, Kwa ni i Aghakan iwe na vifaa vyote na Muhimbli ikose ? Kwa nini huduma za Aghakhan ziwe ghali sana na serikali isiitoze kodi kwa nini ? Mimi naona kuna mshiko kwa viongozi na ndio maana wanapenda kutoboresha huduma za afya hili wakatibiwe nje na humo kuna percentage yao.
W
achovu nachelea kukinzana na hoja yako hapo juu! Kama viongozi hao hao wameweza kupeana mirahaba ya 97% to 3%, sio rahisi waweze kugeuka nakufanya biashara nzuri na ambayo ni very strategicaly na Private entities. wasiwasi wangu ni huu, Kama karne tuliyoko waweza kuulizia bei ya maandazi ulaya ukiwa nyumbani kwako hapo dar, ni kipi kisichowezekana kuhusu kitanda cha kumpuzisha mgonjwa?
 
I respect maamuzi and absolutely was perfect, there were two choices! Kuacha kazi mwenyewe kwa sababu malipo hayatoshi au kufanya kazi kwa terms na malipo yaliyowekwa. Kama umekiuka, lazima sheria ichukue mkondo wake. Tutabembelezana hadi lini sasa.
Unafahamu ratio daktari mmoja hapa Tanzania anapaswa kuhudumia watu wangapi?
 
MMM, serikali imejaa vibonde wasio kuwa na akili za kufikiria. Mimi nilipata kuwa hayo mazingira. Wewe fikiria ni wangapi (vijana) wenye moyo na uwezo wa kusoma masomo ya udakitari (Anza na Biology O level, uje PCB A level (Na hapo kuna vitabu vinaitwa mikate, bado kuna boook kubwa BS=Biological science, au jingine understanding biology n.k.; then chuo uanze na cadaver (dead body) na hapo unacheza nazo mwaka mzima na mi chloroform kibao ina kununukia, then uje uanze magonjwa na wagonjwa bila kuasahu biochemistry na physiology). Jamani ni mlolongo mrefu sana. Ndiyo maana vijana wengi kwa sasa hawataki PCB wala PCM, maana ni ujinga mtupu, na ukichaa kusoma hayo masomo halafu unakuja kuishia kukamatwa na kuteswa msitu wa pande, kisa unahitaji mwajili wako akusikilize ili muelewane. Yaani mi Drs nawasikitikia sana maana sisi huku kwenye masomo ya biashara tunahama kila siku, yaani ukiona mwajili anakuzingua unahama, ukipata maslahi makubwa unahama, lakini leo Dr anafutiwa usajili, mtu ambaye alijitoa kwa moyo wake kusomea u Dr, serikali ya kipumbavu sana hii.
 
Dr1,Dr2,Dr3 yaani 3Dr JK huyu anaonyesha jinsi alivyozipata hizo 3Dr anaona amepatia kuongoza nchi,dhaifu+legelege mimi naomba kadi yake ya clinic ya utotoni niangalie maendeleo yake ya ukuaji pengine mwenzetu alikuwa kwenye mstari mwekundu nasio kijivu au kijani tunaweza mlaumu bure.
 
I respect maamuzi and absolutely was perfect, there were two choices! Kuacha kazi mwenyewe kwa sababu malipo hayatoshi au kufanya kazi kwa terms na malipo yaliyowekwa. Kama umekiuka, lazima sheria ichukue mkondo wake. Tutabembelezana hadi lini sasa.

And that is the SOLUTION??? now? this won't come to pass before we see the consequences! imefika mahali sasa basi! washenzi hawa hawawezi kutuambia hawawezi kuboresha huduma za afya kwa watanzania walio wengi ilhali tunaona pesa zikitumika katika mambo mengi yasiyo ya msingi!! au kwa vile wao wanatibiwa India tena kwa kodi zetu wenyewe! wameanzisha wao kuwa LITAKALO KUWA NA LIWE wajiandae vya kutosha na sisi wananchi tutakapoamua kuwa liwalo na liwe,so far WE HAVE NOTHING TO LOSE EXCEPT OUR OWN LIVES WHICH WE SHALL LOSE ANY WAY IF NOT TODAY THROUGH THEIR SECURITY AGENCIES THEN IT WILL BE TOMMOROW THROUGH THE POOR HEALTH SERVICES WE ARE CRYING ABOUT! tuchosheni tu,si mnajiona mko sayari nyingine!?
 

Well said!
 
Hakuna mtu(kiongozi) wa hovyo kama ile handsome boy ya kifipa-mzee wa kulia
 
Si waache kabisa wasiende kazini. Sasa unaenda kazini halafu hufanyi kazi maana yake nini si unawatesa raia wasio na hatia. Wapambane na serikali siyo kupambana na raia wasio na hatia.

wasiwasi wangu siku wagonjwa wenye hasira wakiwatoa meno na kucha!
 

You sound like a nanny!
 
Mimi siichukii serikali ila nawachukia wanaoiongoza serikali. Yani watz milioni arobaini tunanyanyaswa na kichwa kimoja jk? Kwani hii nchi ya jk, ni Mali yake?
 
Madaktari kwa kweli wana nafasi hii tu kuweza kubadilisha mwelekeo wa sera ya afya nchini. Leo nimeshinda kuzungumza na mmoja wa wahusika wa hili hapo nyumbani na kwa kweli hali katika sekta ya afya ni mbaya sana.
 
Mnyampaa kweli we kilaza wa vilaza yaani hujui mambo yanavyokwenda? Anyway ivi mtu ukiwa kilaza huwa hujijui? Maana unatupa tabu kuangalia utumbo unaoupost.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…