Para-Panda

kapesly

Senior Member
Jan 1, 2017
163
108
🎵🎤🎼🎶🎵🎤🎼🎶🎼🎶🎼
👤 for Roma na
🙊 for Stamina
👤Karibu mzee kingunge kwenye makazi ya milele Mimi huku ninamji wangu tayari unaitwa nyerere ,nimeshtuka kukuona huku nini chanzo cha msiba..h,
🙊 nimipango ya mungu na nimekumisi swaibah
👤vipi nchi yangu Mtawala ni chama gani❕❗❓
🙊Bado ni C C M,Ingawa kuna Upinzani...
👤unamaana gani!? Kwaiyoo Raisi ni NANi!?
🙊Raisi ni JOHN ndo anaongoza usukani..
👤 John Malechelaaah
🙊Nooh Magufuli,ulimuacha ni mbunge wa Chato,Sijui unamkumbuka vizuri..
👤 Hahaa..ngoja kwanza unajua haya mambo haya minilizani alipotoka Mkapa angefata Jakaya!.
🙊 Jakaya alitawala akaja akaritaya(retire) nimeacha mengi yaani mambo ni moto mambo ni fayah
👤 Aaha mbona nasikia mambo haiko sawa na kina nani hawa ambao wanajiita UKAWA
🙊 ni wapinzani waliungana lakini hawakumshinda MAGU wengine chama walihama na bado wakapata TABU <Sanaaa,>
Kakomesha ufisadi.<Kodi> Kaongeza ukusanyaji Hakika wamepata mkombozi atayewafikisha nchi ya ahadi
👤Nilisikia siku hizi bunge halionyeshwi kwenye inamaana hoja za viongozi wanachi haziwafikii na mitandao ya kijamii je vipi haiwasaidii!?
🙊Kuna Dada anaitwa Mange pliizi..(laxima...)
🎶🎶🎼🎼🎶🎼🎶🎼🎶🎼🎶
👤je! Vipi kabuli langu tayari walilijengea na vipi kuhusu mke wangu maria wanamtembeleah!?
🙊Kuhusu kumtembelea hilo toa shaka wanamjali na kumlea tena kwa heshima na mamlakah..
👤Na nimemwona shemeji yangu h amakweli mnapendana mmefatana penzi la kweli kufa na kuzikana vipi mwanangu makongolo Mali zangu anazichungah!.
🙊 an'ghaa Bora wakwako mwenzie bize na TUNDAH.. Mm.mh..hivi Julius ulikua simba au yanga!!
👤kiukweli niliipenda Yanga ila simba ni kisangah.
🙊enhehee..mwalimu unajua hadi kisanga!?
👤hata hilo nasikia mengi kibamia hadi kudangah..nimemwona komba huku nyimbo za chama anatunga nani!?
🙊Mi nasikia wanaisoma namba Ila sijui ameitunga nani!?
👤Sijakuelewa kwani anaesimamia sanaa ni nani!?
🙊mmh..lipo baraza ila wasanii wanaishi uani..

🎼🎶🎵🎶🎤🎼🎵🎶🎼🎵
👤Kuhusu mungano bado upo ama umechujah!?
🙊 mpemba anauza kariakoo na mzalamo anaduka ungujah!
👤Ujinga Maradhi na Umasikini bado maadui nipe taarifah.
🙊ujinga angarau ao wengine janga la taifa..
👤na kuhusu barabara..!
🙊zipo
👤madaraja
🙊yapo
👤 Kama ndivyo inamaana uchumi unapanda enhee..
🙊mmmh..wanadai cherehani mbili ukiwanazo unakiwanda vyuma viko still na kuna hospitali hazina vitandah
👤Bado nina maswali mengi vipi mwenendo wa katiba.!
🙊mchakato ulisitishwa inasemekana walimpigah.!
👤walimpiga nani na kina nani na nini alifanyah..!?
🙊Mwalimu sijui ila ni watu WASIOJULIKANA..
👤waliompiga risasi lissu
🙊ni watu WASIOJULIKANA..
👤kina nani walimteka Roma?
🙊ni watu WASIOJULIKANA..
👤na wanaoteka waandishi wa habari?
🙊eenhe sijui ni watu WASIOJULIKANA..

🎼🎶🎤🎶🎼🎵🎶🎼🎶🎵🎼
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom