Pappies pure germany shepherd dog wanauzwa

Pappies pure germany shepherd dog wanauzwa

Kabachubya

Member
Joined
Oct 6, 2009
Posts
87
Reaction score
10
Mambo vipi wadau? Mbwa wanauzwa pure Germany Shepherd tarehe 13, April,2012 wanatimiza miezi miwili. Amebaki jike mmoja. Bei ni Tshs 300,000/=.

kwa mmoja. Kwa mawasiliano: 0717 123 464, 0762 101 178
 
mkuu ingependeza kama ungeweka picha za hao puppies,na wazaz wao pia!ili tuwaone!
 
mkuu hao puppies bado wapo?kuna jamaa yangu anahitaji mmoja!na unapatikana nchi gani?na mji gani?
 
Bado yupo amebaki jike mmoja, bei nayo itategemea wakati mnakuja kumchukua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom