SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Mnamo wiki mbili zilizopita, yaani October 31, 2018, Papa Francis amemhamisha Askofu Method Kilaini kuwa askofu wa Tamalluma.
Kabla ya uhamisho huu askofu Method Kilaini, ambaye amekuwa akiishi Bukoba, alikuwa ni askofu wa jimbo la Strumnitza kuanzia December 22, 1999.
Kabla ya uhamisho huu askofu Method Kilaini, ambaye amekuwa akiishi Bukoba, alikuwa ni askofu wa jimbo la Strumnitza kuanzia December 22, 1999.