Papa Francis agoma kuishi Ikulu

Papa Francis agoma kuishi Ikulu

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
[h=5]Papa agoma kuishi Ikulu: KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, ameendelea kuwa kiongozi wa matukio yanayopingana na watangulizi wake, ambapo sasa amekataa kuhamia katika makazi ya kifahari ya Papa[/h]
 
Papa agoma kuishi Ikulu: KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, ameendelea kuwa kiongozi wa matukio yanayopingana na watangulizi wake, ambapo sasa amekataa kuhamia katika makazi ya kifahari ya Papa
Huyu nae pasua sana,aise!
 
Ni jinsi shirika la mt fransis linavyoelekeza kuwa waishi maisha ya kawaida na kuwajali maskini!
 

Papal residence.jpg

Ama kweli huyu Pope kaamua kuishi na jamii ya kawaida, karibu Tanzania uishi kwenye mazingira ya kawaida zaidi.





Pope Francis has decided not to move into the papal apartments in the Apostolic Palace, but to live in a suite in the Vatican guesthouse where he has been since the beginning of the conclave that elected him, said Jesuit Father Federico Lombardi, Vatican spokesman.
"He is experimenting with this type of living arrangement, which is simple," but allows him "to live in community with others," both the permanent residents - priests and bishops who work at the Vatican - as well as guests coming to the Vatican for meetings and conferences, Father Lombardi said March 26.
The spokesman said Pope Francis has moved out of the room he drew by lot before the conclave and into Suite 201, a room that has slightly more elegant furnishings and a larger living room where he can receive guests.
The Domus Sanctae Marthae, the official name of the guesthouse, was built in 1996 specifically to house cardinals during a conclave.
Celebrating Mass March 26 with the residents and guests, Pope Francis told them he intended to stay, Father Lombardi said. The permanent residents, who had to move out during the conclave, had just returned to their old rooms.
Pope Francis has been there since his election March 13, taking his meals in the common dining room downstairs and celebrating a 7 a.m. Mass with Vatican employees in the main chapel of the residence.
He will be the first pope in 110 years not to live in the papal apartments on the third floor of the Apostolic Palace.
 
Huyu papa wenu nae.....dunia ya siku hizi usalama nao unakipaumbele chake......yy ubishi tu.
 
Ni sawa kuishi kimaskini kama Mtakatifu Francis Asisi ambaye ndiye umeridhi jina lake ila awe muangalifu na magaidi hasa wa kiislamu wasije kumtdhuru kama walivowahi kumpiga risasi papa John Paul 11
 
Huyu papa wenu nae.....dunia ya siku hizi usalama nao unakipaumbele chake......yy ubishi tu.

Kwenye ulinzi wala usiwe na wasiwasi.
Wapo Swiss guards na Roho Mtakatifu.
 
[h=5]Papa agoma kuishi Ikulu: KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, ameendelea kuwa kiongozi wa matukio yanayopingana na watangulizi wake, ambapo sasa amekataa kuhamia katika makazi ya kifahari ya Papa[/h]
Sio ufahari ni security yake,haya
 
Kifo kaumbiwa mwanadamu, security yake ni Damu ya Yesu
 
Ni jinsi shirika la mt fransis linavyoelekeza kuwa waishi maisha ya kawaida na kuwajali maskini!

Hebu wacha kutulisha matango pori hapa..shirika ni la Jesuit ila MAISHA YA MT.FRANCIS yalikua ya kawaida na kuwajali masikini japokua alikua tajiri sana!
 
Na hakika atakuwa ni papa wa watu na kwa wale mnaohofia usalama wake wala si tatizo. Mungu anayemtumikia atamlinda. Hii ndiyo traditional catholic life plus franciscan life.
 
Amen..Mwacheni Papa aishi apendavyo..Kufa kila mtu atakufa..Ndio maana Paulo alisema kuishi ni kristo na kufa faida
Ingawa mie siyo mkristu lakini naamini kuwa kila cheo au wadhifa una masharti yake. Mfano huwezi kuwa kiongozi wa Bank usivae tai kama wewe ni mwanaume. Kuna vitu tunafanya kwa sababu ya kuheshimu aidha wadhifa au kiti. Haya mambo ya kufanya unayoyataka na si ofisi inayotaka ndo maana tunavurunda. Naamini ataelekezwa na kufuata taratibu za msikiti wake. Sababu za yeye kuwa falagha ni nyingi kwani anaweza kufanya jambo likakwaza wengi au kufanya watu wadharau upapa. Kuna msemo kuwa ili uheshimiwe ni lazima usifahamike. Mtu akikufahamu kiundani anapunguza heshima. Hivyo ndugu zangu kama wewe ni kiongozi epuka mwingiliano (wakati ukiwa kiongozi) kwa heshima ya wadhifa. Umbali huongeza mapenzi vile vile
 
huyu papa naye kazidi ubishoo!

nyumba haina zindiko analolitaka hawezi ingia kichwa kichwa na siyo bishoo anasubiri mganga wake aje utasikia wamemsihi ameamua kuingia fuatailia wachawi hao
 
Papa agoma kuishi Ikulu: KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, ameendelea kuwa kiongozi wa matukio yanayopingana na watangulizi wake, ambapo sasa amekataa kuhamia katika makazi ya kifahari ya Papa

Matukio yanayopingana ina maana gani? Yeye ni bora kuliko waliomtangulia?
 
Back
Top Bottom