Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 710
- 1,365
Jana majira ya saa saba usiku jirani yangu alivamiwa na wezi maarufu kama panya Road.
Walikuwa vijana zaidi ya kumi na tano huku wakiwa na mapanga na kuzua kadhia kubwa mtaani kwetu Bunju B..
Walivamia nyumba kadhaa na kujeruhi kwa mapanga.
Baada ya tukio kuisha ndio majirani tukaweza kutoka na kutoa msaada kwa ndugu zetu
Baada na nusu saa ndo police walifika na kuanza kufuatilia ikiwemo kupata maelezo ya majirani.
Jeshi la polisi mnawajibu mkubwa kuondoa hii "Taharuki" kwa wananchi ili waweze kufanya shughuli zao pasi na hofu.
Mh Rais ndo kwanza ameanza kufungua Nchi kwahiyo hivi vitu "Panya Road" vinaleta taswira mbaya sana ndani na nje hasa wawekezaji.
Rai yangu, Police kufanya Doria za mara kwa mara mitaani pia serikali iwekeze katika kuwapatia vifaa vya kisasa pamoja magari ya kutosha.
Walikuwa vijana zaidi ya kumi na tano huku wakiwa na mapanga na kuzua kadhia kubwa mtaani kwetu Bunju B..
Walivamia nyumba kadhaa na kujeruhi kwa mapanga.
Baada ya tukio kuisha ndio majirani tukaweza kutoka na kutoa msaada kwa ndugu zetu
Baada na nusu saa ndo police walifika na kuanza kufuatilia ikiwemo kupata maelezo ya majirani.
Jeshi la polisi mnawajibu mkubwa kuondoa hii "Taharuki" kwa wananchi ili waweze kufanya shughuli zao pasi na hofu.
Mh Rais ndo kwanza ameanza kufungua Nchi kwahiyo hivi vitu "Panya Road" vinaleta taswira mbaya sana ndani na nje hasa wawekezaji.
Rai yangu, Police kufanya Doria za mara kwa mara mitaani pia serikali iwekeze katika kuwapatia vifaa vya kisasa pamoja magari ya kutosha.