Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Yah contrary to popular opinion binafsi si mshabiki mkubwa wa Yanga ila napenda tuu wanavyowaadhibu wale jeuri wanojiita Simba
Lakini my heart is with Pan Africa SC lakini tatizo letu Pan ni migogoro bwana duh!
Hivi tunaweza kutata migogoro yetu na kuweka uongozi mpya?
Hivi ilikuwaje mpaa akina Digosi wakaikataa katiba mpya?
Haya tena watu wa Pan uwanja wetu huu...
Lakini my heart is with Pan Africa SC lakini tatizo letu Pan ni migogoro bwana duh!
Hivi tunaweza kutata migogoro yetu na kuweka uongozi mpya?
Hivi ilikuwaje mpaa akina Digosi wakaikataa katiba mpya?
Haya tena watu wa Pan uwanja wetu huu...