quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 164
bora afe chupa isipasuke anapenda pombe kama ibada.
tatizo mbona mnachagua maadui wa kuwapenda kama vipi tuwapende majambazi maradhi kama ukimwi na vyote ambavyo tunahisi ni adui zetu kwa ujumla wake.sasa sisi utakuta tunampenda adui pombe,uzinzi ndio sanaaaaaa."mbona wengi wanasema pombe ni adui wa binadamu lakini vitabu vya dini vinatuasa kuwapenda maadui zetu!!"
tatizo mbona mnachagua maadui wa kuwapenda kama vipi tuwapende majambazi maradhi kama ukimwi na vyote ambavyo tunahisi ni adui zetu kwa ujumla wake.sasa sisi utakuta tunampenda adui pombe,uzinzi ndio sanaaaaaa.
sasa hapo ndio tukubaliane adui huwa hapendeki.huuuwi unamaana tuipende na ccm pia maana ndio adui nambari one hee nambari wani ni ccm