Rais Magufuli anatosha, amejenga vituo vya afya na hospitali mpya nchi nzima ,mnaotaka kuchuana nae pimeni urefu wa maji kwa miguu kwanza...

AUGUSTINO CHIWINGA

JF-Expert Member
Apr 23, 2017
220
689
Ukiacha miradi mkubwa ya kimkakati inayotekelezwa sasa hivi hapa nchini kwa kasi Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh. Dr. John Pombe Magufuli amefanikiwa kujenga vituo vya afya 360 na Hospitali mpya za Wilaya katika Halmashauri 67 nchi nzima.Hii ni hatua kubwa sana ya maendeleo yanayogusa maisha ya watanzania makabwela wanyonge lakini pia ni kete muhimu kuelekea katika uchumi wa kati kwa sababu hatuwezi kufika huko kama afya za Watanzania ambao ndio wazalishaji zitakua kwenye hati hati.

Sasa mwaka 2020 ukiwa ni mwaka wa uchaguzi mkuu amabapo bila shaka, panapo neema za MUNGU Chama Cha Mapinduzi kama ilivyo ilivyo mila na desturi zake kitamchagua tena Mh. Dr. John Pombe kama mgombea wake kwa muhula wa pili mfululizo. Sote ni mashuhuda wa jinsi nchi ya uongozi wake alivyoweza kuiboresha na kuifanyia mabadiliko makubwa sekta ya afya kwa kujenga vituo vua afya,na Hospitali za Wilaya 67 nchi nzima ukiachilia mbali dawa na vifaa tiba .

Maendeleo hayo kwenye sekta ya afya yamewagusa moja kwa moja Watanzania zaidi ya million 50 ambao sasa wanafaidika na uongozi bora wa Rais Magufuli.Katika watanzania hao wapo waliofikisha umri wa kupiga kura mwakani ni wazi kwamba kutokana ukweli huo kura zao hawatakua na sehemu nyingine ya kuzipeleka zaidi ya kupiga alama ya tiki kwenye picha ya Mh Magufuli akiwa kama mgombea wa CCM ambae amekua ni mkombozi wa afya zao.

Rais Magufuli anazo sababu nyingi za kuchaguliwa kwa awamu nyingine, afya ikiwa ni sababu mojawapo, hakuna Mtanzania ambae tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madarakani hajafaidika na huduma za afya zilizoboreshwa.Watakaojitekeza kuchuana nae watambue kwamba hawataweza kufurukuta hata kidogo kwa sababu Rais Magufuli anajiuza mwenyewe kwa maendeleo makubwa aliyofanya kwenye sekta ya Afya.

Rais Magufuli anatosha sana, watu wanashangaa amewezaje kufanya mambo makubwa ya kutukuka ndani ya muda mfupi, hiki ni kipaji kikubwa cha uongozi kilichomo ndani yake alichobarikiwa na Mwenyezi MUNGU.Anaacha alama na somo kubwa la uongozi kwa namna alivyojitoa sadaka kwa ajili ya Tanzania iliyokua inachezewa kwenye matumizi ya fedha za umma badala ya kwenda miradi kama hii yenye tija ilikwenda kwenye mifuko ya watu fulani fulani.

Wanaotaka kuchuana nae 2020 ni vema wakayapima maji haya marefu kwa miguu kabla ya kuamua kujitosa. Rais Magufuli ana mamilioni ya Watanzania nyuma yake wenye vyama na wasio na vyama wanaomuunga mkono. Rais huyu Watanzania wamepewa kama zawadi na bado wanamuhitaji kwa ajili ya kushughulika na kero zao.Uhakika wa kupata ushindi wa kishindo kwake uko palepale kwa sababu maendeleo aliyoyaleta yanaoeneka wazi.

Augustino Chiwinga

0659438889 / 0756810804
 
Ukiacha miradi mkubwa ya kimkakati inayotekelezwa sasa hivi hapa nchini kwa kasi Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh. Dr. John Pombe Magufuli amefanikiwa kujenga vituo vya afya 360 na Hospitali mpya za Wilaya katika Halmashauri 67 nchi nzima.Hii ni hatua kubwa sana ya maendeleo yanayogusa maisha ya watanzania makabwela wanyonge lakini pia ni kete muhimu kuelekea katika uchumi wa kati kwa sababu hatuwezi kufika huko kama afya za Watanzania ambao ndio wazalishaji zitakua kwenye hati hati.

Sasa mwaka 2020 ukiwa ni mwaka wa uchaguzi mkuu amabapo bila shaka, panapo neema za MUNGU Chama Cha Mapinduzi kama ilivyo ilivyo mila na desturi zake kitamchagua tena Mh. Dr. John Pombe kama mgombea wake kwa muhula wa pili mfululizo. Sote ni mashuhuda wa jinsi nchi ya uongozi wake alivyoweza kuiboresha na kuifanyia mabadiliko makubwa sekta ya afya kwa kujenga vituo vua afya,na Hospitali za Wilaya 67 nchi nzima ukiachilia mbali dawa na vifaa tiba .

Maendeleo hayo kwenye sekta ya afya yamewagusa moja kwa moja Watanzania zaidi ya million 50 ambao sasa wanafaidika na uongozi bora wa Rais Magufuli.Katika watanzania hao wapo waliofikisha umri wa kupiga kura mwakani ni wazi kwamba kutokana ukweli huo kura zao hawatakua na sehemu nyingine ya kuzipeleka zaidi ya kupiga alama ya tiki kwenye picha ya Mh Magufuli akiwa kama mgombea wa CCM ambae amekua ni mkombozi wa afya zao.

Rais Magufuli anazo sababu nyingi za kuchaguliwa kwa awamu nyingine, afya ikiwa ni sababu mojawapo, hakuna Mtanzania ambae tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madarakani hajafaidika na huduma za afya zilizoboreshwa.Watakaojitekeza kuchuana nae watambue kwamba hawataweza kufurukuta hata kidogo kwa sababu Rais Magufuli anajiuza mwenyewe kwa maendeleo makubwa aliyofanya kwenye sekta ya Afya.

Rais Magufuli anatosha sana, watu wanashangaa amewezaje kufanya mambo makubwa ya kutukuka ndani ya muda mfupi, hiki ni kipaji kikubwa cha uongozi kilichomo ndani yake alichobarikiwa na Mwenyezi MUNGU.Anaacha alama na somo kubwa la uongozi kwa namna alivyojitoa sadaka kwa ajili ya Tanzania iliyokua inachezewa kwenye matumizi ya fedha za umma badala ya kwenda miradi kama hii yenye tija ilikwenda kwenye mifuko ya watu fulani fulani.

Wanaotaka kuchuana nae 2020 ni vema wakayapima maji haya marefu kwa miguu kabla ya kuamua kujitosa. Rais Magufuli ana mamilioni ya Watanzania nyuma yake wenye vyama na wasio na vyama wanaomuunga mkono. Rais huyu Watanzania wamepewa kama zawadi na bado wanamuhitaji kwa ajili ya kushughulika na kero zao.Uhakika wa kupata ushindi wa kishindo kwake uko palepale kwa sababu maendeleo aliyoyaleta yanaoeneka wazi.

Augustino Chiwinga

0659438889 / 0756810804
Nafasi za uteuzi sasa ni kwa wapinzani tu. Kaoge ulale
 
Kujenga vitu hata wewe ukiwa raisi utajenga tu, si unakopa tu au unatumia kodi za wananchi kwani pesa unatoa mfukoni mwako?

Hata Maraisi waliopita walikopa wakajenga shule, barabara, vyuo, mahospitali, madaraja, vivuko, umeme na mambo kibao

Tunahitaji Rais mwenye kuheshimu katiba na kiapo alichoapa kwamba atatekeleza majukumu ya urais bila kuonea wala kupendelea mtu yeyote na kwamba ataheshimu na kuilinda katiba iliyowekwa kwa mujibu wa sheria.

Hicho ndo kiapo cha Rais, Rais haapi kujenga flyovers wala stieglers gorge
 
Mtu yoyote akiwa rais atafanya hivyo anavyofanya rais wa sasa kwani sio mshahara wake bali kodi za wananchi. Kama mnadhani hiyo miradi ni hisani yake, basi msijali, tutampata iwe yake ila atulipe kodi yetu, lakini hafai kuendelea kuwa rais.
 
Haya tuambie nani anafaa kuwa raisi wa nchi hii
Mtu yoyote akiwa rais atafanya hivyo anavyofanya rais wa sasa kwani sio mshahara wake bali kodi za wananchi. Kama mnadhani hiyo miradi ni hisani yake, basi msijali, tutampata iwe yake ila atulipe kodi yetu, lakini hafai kuendelea kuwa rais.
 
Wengine wanapewa ruzuku ya mamia ya mamilioni lakini hata ofisi hawana, utashangaa wanakuambia kufanya hivyo ni rahisi huku wao kufanya kitu kidogo tu wameshindwa.
 
Ukiacha miradi mkubwa ya kimkakati inayotekelezwa sasa hivi hapa nchini kwa kasi Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh. Dr. John Pombe Magufuli amefanikiwa kujenga vituo vya afya 360 na Hospitali mpya za Wilaya katika Halmashauri 67 nchi nzima.Hii ni hatua kubwa sana ya maendeleo yanayogusa maisha ya watanzania makabwela wanyonge lakini pia ni kete muhimu kuelekea katika uchumi wa kati kwa sababu hatuwezi kufika huko kama afya za Watanzania ambao ndio wazalishaji zitakua kwenye hati hati.

Sasa mwaka 2020 ukiwa ni mwaka wa uchaguzi mkuu amabapo bila shaka, panapo neema za MUNGU Chama Cha Mapinduzi kama ilivyo ilivyo mila na desturi zake kitamchagua tena Mh. Dr. John Pombe kama mgombea wake kwa muhula wa pili mfululizo. Sote ni mashuhuda wa jinsi nchi ya uongozi wake alivyoweza kuiboresha na kuifanyia mabadiliko makubwa sekta ya afya kwa kujenga vituo vua afya,na Hospitali za Wilaya 67 nchi nzima ukiachilia mbali dawa na vifaa tiba .

Maendeleo hayo kwenye sekta ya afya yamewagusa moja kwa moja Watanzania zaidi ya million 50 ambao sasa wanafaidika na uongozi bora wa Rais Magufuli.Katika watanzania hao wapo waliofikisha umri wa kupiga kura mwakani ni wazi kwamba kutokana ukweli huo kura zao hawatakua na sehemu nyingine ya kuzipeleka zaidi ya kupiga alama ya tiki kwenye picha ya Mh Magufuli akiwa kama mgombea wa CCM ambae amekua ni mkombozi wa afya zao.

Rais Magufuli anazo sababu nyingi za kuchaguliwa kwa awamu nyingine, afya ikiwa ni sababu mojawapo, hakuna Mtanzania ambae tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madarakani hajafaidika na huduma za afya zilizoboreshwa.Watakaojitekeza kuchuana nae watambue kwamba hawataweza kufurukuta hata kidogo kwa sababu Rais Magufuli anajiuza mwenyewe kwa maendeleo makubwa aliyofanya kwenye sekta ya Afya.

Rais Magufuli anatosha sana, watu wanashangaa amewezaje kufanya mambo makubwa ya kutukuka ndani ya muda mfupi, hiki ni kipaji kikubwa cha uongozi kilichomo ndani yake alichobarikiwa na Mwenyezi MUNGU.Anaacha alama na somo kubwa la uongozi kwa namna alivyojitoa sadaka kwa ajili ya Tanzania iliyokua inachezewa kwenye matumizi ya fedha za umma badala ya kwenda miradi kama hii yenye tija ilikwenda kwenye mifuko ya watu fulani fulani.

Wanaotaka kuchuana nae 2020 ni vema wakayapima maji haya marefu kwa miguu kabla ya kuamua kujitosa. Rais Magufuli ana mamilioni ya Watanzania nyuma yake wenye vyama na wasio na vyama wanaomuunga mkono. Rais huyu Watanzania wamepewa kama zawadi na bado wanamuhitaji kwa ajili ya kushughulika na kero zao.Uhakika wa kupata ushindi wa kishindo kwake uko palepale kwa sababu maendeleo aliyoyaleta yanaoeneka wazi.

Augustino Chiwinga

0659438889 / 0756810804
Nasikitika kukutaarifu kuwa nafasi za uteuzi zimejaa.
 
Ukiacha miradi mkubwa ya kimkakati inayotekelezwa sasa hivi hapa nchini kwa kasi Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mh. Dr. John Pombe Magufuli amefanikiwa kujenga vituo vya afya 360 na Hospitali mpya za Wilaya katika Halmashauri 67 nchi nzima.Hii ni hatua kubwa sana ya maendeleo yanayogusa maisha ya watanzania makabwela wanyonge lakini pia ni kete muhimu kuelekea katika uchumi wa kati kwa sababu hatuwezi kufika huko kama afya za Watanzania ambao ndio wazalishaji zitakua kwenye hati hati.
Sasa mwaka 2020 ukiwa ni mwaka wa uchaguzi mkuu amabapo bila shaka, panapo neema za MUNGU Chama Cha Mapinduzi kama ilivyo ilivyo mila na desturi zake kitamchagua tena Mh. Dr. John Pombe kama mgombea wake kwa muhula wa pili mfululizo. Sote ni mashuhuda wa jinsi nchi ya uongozi wake alivyoweza kuiboresha na kuifanyia mabadiliko makubwa sekta ya afya kwa kujenga vituo vua afya,na Hospitali za Wilaya 67 nchi nzima ukiachilia mbali dawa na vifaa tiba .
Maendeleo hayo kwenye sekta ya afya yamewagusa moja kwa moja Watanzania zaidi ya million 50 ambao sasa wanafaidika na uongozi bora wa Rais Magufuli.Katika watanzania hao wapo waliofikisha umri wa kupiga kura mwakani ni wazi kwamba kutokana ukweli huo kura zao hawatakua na sehemu nyingine ya kuzipeleka zaidi ya kupiga alama ya tiki kwenye picha ya Mh Magufuli akiwa kama mgombea wa CCM ambae amekua ni mkombozi wa afya zao.
Rais Magufuli anazo sababu nyingi za kuchaguliwa kwa awamu nyingine, afya ikiwa ni sababu mojawapo, hakuna Mtanzania ambae tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madarakani hajafaidika na huduma za afya zilizoboreshwa.Watakaojitekeza kuchuana nae watambue kwamba hawataweza kufurukuta hata kidogo kwa sababu Rais Magufuli anajiuza mwenyewe kwa maendeleo makubwa aliyofanya kwenye sekta ya Afya.
Rais Magufuli anatosha sana, watu wanashangaa amewezaje kufanya mambo makubwa ya kutukuka ndani ya muda mfupi, hiki ni kipaji kikubwa cha uongozi kilichomo ndani yake alichobarikiwa na Mwenyezi MUNGU.Anaacha alama na somo kubwa la uongozi kwa namna alivyojitoa sadaka kwa ajili ya Tanzania iliyokua inachezewa kwenye matumizi ya fedha za umma badala ya kwenda miradi kama hii yenye tija ilikwenda kwenye mifuko ya watu fulani fulani.
Wanaotaka kuchuana nae 2020 ni vema wakayapima maji haya marefu kwa miguu kabla ya kuamua kujitosa. Rais Magufuli ana mamilioni ya Watanzania nyuma yake wenye vyama na wasio na vyama wanaomuunga mkono. Rais huyu Watanzania wamepewa kama zawadi na bado wanamuhitaji kwa ajili ya kushughulika na kero zao.Uhakika wa kupata ushindi wa kishindo kwake uko palepale kwa sababu maendeleo aliyoyaleta yanaoeneka wazi.
Augustino Chiwinga
0659438889 / 0756810804
roho za watu zikishapotea ndo mnaleta ngonjera zenu huku?
 
Wengine wanapewa ruzuku ya mamia ya mamilioni lakini hata ofisi hawana, utashangaa wanakuambia kufanya hivyo ni rahisi huku wao kufanya kitu kidogo tu wameshindwa.
Muwe mnakuwa na kumbukumbu. Ofisi karibu zote za CCM zilijengwa wakati wa chama kimoja. Watu tulichangishwa pesa kwa lazima na siyo kwa ihari. Watu walinyang'anywa ng'ombe, mbuzi na hata kuku kuchangia majengo ya chama. Leo unajidai na majengo hayo?

Tuliochangia miaka ya sabini mpaka 92 tunakumbuka mateso tuliyopitia ya kukatwa mishahara.
 
Siku hizi nikiona tittle ya kusifu, kabla sijasoma maelezo mengi ya kusifu na kupamba nashuka chini kuangalia kama kuna namba ya simu nikiikuta sisomi nisipoikuta namkumbusha mleta mada.
 
Hata wakoloni walijenga vituo vya afya, shule na barabara lakini tulipigania uhuru wetu.
Reli yetu iliyokuwa inatupeleka shuleni na vyuoni ipo wapi? Iliuawa na wapinzani au CCM na waziri wa uchukuzi alikuwa nani wakati huo? Watu wamepoteza ufahamu wameukabidhi mtu mmoja tu! Zinadumishwa kama zilivyokuwa zinadumishwa kipindi cha mchonga.
 
Back
Top Bottom