Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,132
- 22,383
Nikiwa narejea Dar toka Arusha mchana saa saba tukiwa na gari la ofisi
Pamoja na treni nzuri janà nimehesabu magari 13 yamepaki pembeni wengine wakiambiana kabisa utàlala wewe leo kwenye gari
Naamini si mbaya kusafiri na usafiri priv lakini kama.mnaweza pandeni hata basi kuepuka mahasibu kama yaliotokea jana
Niliumia zaidi kuona malawyer wangu wawili gari tofauti zimepaki
Imani ikanishinda nikapaki tukapata soln ya gari moja lingine ilibidi waje wah waliobobea
Pamoja na treni nzuri janà nimehesabu magari 13 yamepaki pembeni wengine wakiambiana kabisa utàlala wewe leo kwenye gari
Naamini si mbaya kusafiri na usafiri priv lakini kama.mnaweza pandeni hata basi kuepuka mahasibu kama yaliotokea jana
Niliumia zaidi kuona malawyer wangu wawili gari tofauti zimepaki
Imani ikanishinda nikapaki tukapata soln ya gari moja lingine ilibidi waje wah waliobobea