Pamoja na tambo za kuzuia safari za nje,kubana matumizi,ufukara umekithiri

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,437
14,927
Sio siri hali ya mwananchi wa kawaida kiuchumi ni mbaya,najua Lumumba watakuja na hoja kwamba wapiga dili wamedhibitiwa,hapa namuongelea mwananchi ambaye anauza mihogo,karanga,mtu wa kawaida analia,je hizo pesa za waliokuwa wasafiri kwenda nje ziko wapi?mbona hazisaidii uchumi wa nchi na watu wa kawaida?ziko wapi?kwa nini kipindi hiki umasikini umekithiri,tena miezi sita tangu awamu ya tano ianze? Nashauri tuchukue hatua mapema,sukari sasa inafilisi wananchi wakati mapato yao ni 2000 kwa siku,sukari inauzwa 3000
 
Baada ya kuzuia safari hizo tumeokoa mabilioni mengi ambayo yameingia kwenye budget ya 2016 2017 na ndo maana unaeza kuona pesa nyingi zimeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo


Subiri matokeo yake kuanzia mwaka ni


Ila pia usisahau mahakama ya mafisadi inakuja ambapo DPP atapeleka Mashauri yote

Hapa kazi tu
 
Mkuu development is a process and not overnight action tambua hilo
 
Hapo ndyo ujiulize je kama safar za nje zingeendelea, majipu yasingetumbulwa, hali ya tz ingekuaje?
 
Kama haufanyi kazi huo unafuu wa maisha utatoka wapi? kama haujajipanga umezoea vya kunyonga lazima maisha yaonekana magumu. Watanzania tujifunze kufanya kazi na sio kulalamika.
 
Sio siri hali ya mwananchi wa kawaida kiuchumi ni mbaya,najua Lumumba watakuja na hoja kwamba wapiga dili wamedhibitiwa,hapa namuongelea mwananchi ambaye anauza mihogo,karanga,mtu wa kawaida analia,je hizo pesa za waliokuwa wasafiri kwenda nje ziko wapi?mbona hazisaidii uchumi wa nchi na watu wa kawaida?ziko wapi?kwa nini kipindi hiki umasikini umekithiri,tena miezi sita tangu awamu ya tano ianze? Nashauri tuchukue hatua mapema,sukari sasa inafilisi wananchi wakati mapato yao ni 2000 kwa siku,sukari inauzwa 3000
Ng'ombe wa Lowasa kumbe bado mnalipwa!! Duh! Mna moyo sana ila, hamtafanikiwa Magufuli ameanza na Mungu na atamaliza na Mungu.
 
Sio siri hali ya mwananchi wa kawaida kiuchumi ni mbaya,najua Lumumba watakuja na hoja kwamba wapiga dili wamedhibitiwa,hapa namuongelea mwananchi ambaye anauza mihogo,karanga,mtu wa kawaida analia,je hizo pesa za waliokuwa wasafiri kwenda nje ziko wapi?mbona hazisaidii uchumi wa nchi na watu wa kawaida?ziko wapi?kwa nini kipindi hiki umasikini umekithiri,tena miezi sita tangu awamu ya tano ianze? Nashauri tuchukue hatua mapema,sukari sasa inafilisi wananchi wakati mapato yao ni 2000 kwa siku,sukari inauzwa 3000

Usikate tamaa...kuwa mvumilivu haya ni ya muda tuu...mazuri yanakuja mbele. Zaidi tuzidi kumuombea Rais wetu JPM
 
Sio siri hali ya mwananchi wa kawaida kiuchumi ni mbaya,najua Lumumba watakuja na hoja kwamba wapiga dili wamedhibitiwa,hapa namuongelea mwananchi ambaye anauza mihogo,karanga,mtu wa kawaida analia,je hizo pesa za waliokuwa wasafiri kwenda nje ziko wapi?mbona hazisaidii uchumi wa nchi na watu wa kawaida?ziko wapi?kwa nini kipindi hiki umasikini umekithiri,tena miezi sita tangu awamu ya tano ianze? Nashauri tuchukue hatua mapema,sukari sasa inafilisi wananchi wakati mapato yao ni 2000 kwa siku,sukari inauzwa 3000
Mletamada ni wazi kuwa ulikimbia umande...ila safari hii hauna kisingizio...elimu ni bure nakushauri urudi shule walau umalize form 4..
 
Baada ya kuzuia safari hizo tumeokoa mabilioni mengi ambayo yameingia kwenye budget ya 2016 2017 na ndo maana unaeza kuona pesa nyingi zimeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo


Subiri matokeo yake kuanzia mwaka ni


Ila pia usisahau mahakama ya mafisadi inakuja ambapo DPP atapeleka Mashauri yote

Hapa kazi tu
Sio zile walizopewa majeshi na polisi kwenda kuwatisha wazanzibari pamoja na kulipia uchaguzi zanzibar?
 
Sio siri hali ya mwananchi wa kawaida kiuchumi ni mbaya,najua Lumumba watakuja na hoja kwamba wapiga dili wamedhibitiwa,hapa namuongelea mwananchi ambaye anauza mihogo,karanga,mtu wa kawaida analia,je hizo pesa za waliokuwa wasafiri kwenda nje ziko wapi?mbona hazisaidii uchumi wa nchi na watu wa kawaida?ziko wapi?kwa nini kipindi hiki umasikini umekithiri,tena miezi sita tangu awamu ya tano ianze? Nashauri tuchukue hatua mapema,sukari sasa inafilisi wananchi wakati mapato yao ni 2000 kwa siku,sukari inauzwa 3000
Mkuu, tufanye kazi! Mapori yapo kibao, tukalime. Tuache Magu afanye kazi. Miezi sita tu, tumpe muda, anafanya kazi nzuri. Atleast anaongea lugha ya wengi. Tum- support Magufuli
 
Back
Top Bottom