100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,157
Wee jamaaa mwanzoni ulikuwa unachangia ujinga Sana...bila Shaka utakuwa umeulewa uboya wa mleta mada... Sasa Basi mtafute umelete hApa na yeye ashukuru kwa ushauri tuliompa japo Ni kwa ukali kidogo ila amejifusha,atulipe kwa shukrani japo ya Maneno Huo Uslam bhana
Unajua nyie mmetumia nguvu sana, sasa inabidi kuwe na upande wa kumfariji, sema ndo kesi kaikimbia kamwachia mdhamini.