Pamoja na mapungufu ya Magufuli, ilibidi nimchague maana ndo alikuwa na angalau kati ya waliogombea

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Niliwahi kusema Magufuli siyo Mungu kutokosea wala si malaika, sababu hata kabla ya kuchukua form kuna mambo tuliwahi kutofautiana, lakini kulingana na aina ya wagombea aliosimama nao niliona angalau ana uafadhali kwa asilimia 45 ya kuwa rais wetu.

Vyama vingine vilisimamisha wezi wa mifugo kwenye ranchi, wezi wa rasilimali, wezi wakubwa na wapiga dili, kwa upande mwingine vingine vilisimamisha wasio na uwezo kumtizamo.

Wengine nia ilikuwa kuongeza ruzuku kama ACT,Sasa kwa yanayoendelea juu ya uongozi wa rais Magufuli tuyakubali hivyo hivyo hakuna kiongozi malaika, japo yanakuzwa sana na wapinzani, ambao walisimamisha watu kwa tamaa tu, tumuunge mkono Magufuli.

Ni mara mia akaikanyaga demokrasia lakini akaleta heshima, na kuwafanya watu kuwajibika, tuache kulialia kama Ben saanane na wengine.
 
Niliwahi kusema magufuri siyo mungu kutokosea wala si malaika , sababu hata kabla ya kuchukua form kuna mambo tuliwahi kutofautiana, lakini kulingana na aina ya wagombea alosimama nao niliona angalau ana uafadhali kwa asilimia 45 ya kuwa raisi wetu, maana vyama vingine vilisimamisha wezi Wa mifugo kwenye Ranchi, wezi Wa rasilimali, wezi wakubwa na wapiga dili, kwa upande mwingine vingine vilisimamisha wasio na uwezo kumtizamo, wengine nia ilikuwa kuongeza ruzuku kama act, sasa kwa yanayoendelea juu ya uongozi Wa magufuri tuyakubali hivyo hivyo hakuna kingozi malaika , japo yanakuzwa sana na wapinzani, ambao walisimamisha watu kwa tamaa tu, tumuunge mkono magufuri, ni mara mia akaikanyaga demokrasia lakini akaleta heshima, na kuwafanya watu kuwajibika, tuache kulialia kama Ben saanane na wengine,
Umenena vyema sana
 
Safi mkuu, naona umeingiza siku #Buku7fc #LumumbaKatikaMajukumuYao
Features za vijana Wa chadema zinatokana na viongozi wao, kujadili mambo yaliyo nje ya mada , mi nimefanya tafiti mara nyingi sana ukiwa kwenye mahojiano na kijana Wa chadema utaishia kumchalaza vibao, maana hoja zao nyepesi, kijana pekee alowahi kuwa chadema akawa na akili ni john john mnyika, wengine Nina mashaka juu ya thinking capacity yao, kama wewe hapa badala ya kuja hoja ya kujibu unasema buku saba
 
Leo hii namshangaa mbowe namshangaa Lissu bungeni wanatetea mafisadi kumbe Dr slaa aliona mbali na kujua kinyesi kilichokuwa ccm kimeamia pale na Tania zote, kuanzia madili, ukaja taratibu, ukaja ufisadi ukaja uhongo ukaja mamho mengi sana
 
Niliwahi kusema Magufuli siyo mungu kutokosea wala si malaika , sababu hata kabla ya kuchukua form kuna mambo tuliwahi kutofautiana, lakini kulingana na aina ya wagombea aliosimama nao niliona angalau ana uafadhali kwa asilimia 45 ya kuwa raisi wetu.

Vyama vingine vilisimamisha wezi wa mifugo kwenye Ranchi, wezi wa rasilimali, wezi wakubwa na wapiga dili, kwa upande mwingine vingine vilisimamisha wasio na uwezo kumtizamo.

Wengine nia ilikuwa kuongeza ruzuku kama ACT,

Sasa kwa yanayoendelea juu ya uongozi wa rais Magufuli tuyakubali hivyo hivyo hakuna kiongozi malaika , japo yanakuzwa sana na wapinzani, ambao walisimamisha watu kwa tamaa tu, tumuunge mkono magufuli,

Ni mara mia akaikanyaga demokrasia lakini akaleta heshima, na kuwafanya watu kuwajibika, tuache kulialia kama Ben saanane na wengine.

Mwl Maghufuli ameshachaguliwa na hamna namna. Lakini tunaomba tuongozwe vizuri si kutawaliwa ki mabavu.

Kitendo cha kutuzimia jukwaa letu (BUNGE) na kisha kuminya mawazo mbadala na hatimaye kuzuia mikutano ya kisiasa ni UDIKTETA na niamini hatutafanikiwa kwa hila hizo.
 
Wala hajatawala kimabavu sema watanzania ni kama mlikuwa likizo miaka kumi iliyopita mlilala usingizi Wa pono mi nimeish nchi zifuatazo
1. Ivory coast
2. Rwanda
3. Kenya
4. Botswana
5. Uganda
6. Italy
7. Burundi
8. Tanzania
9. Sey shells
10. Togo
11. Sweden

Nchi pekee ambazo wananchi walikuwa wamelala ni Tanzania, Burundi sea shell, na Togo, lakini wengine wote wanaheshimu taratibu husika na kufuata sheria na hausikii mwanasiasa anawapotosha wananchi kwa uongo majukwaani, Tatizo Tanzania uongo umekuwa sehem ya kufanikisha malengo ya wanasiasa kupata wanachotaka kutoka kwa wananchi wenye ueleqa Mdogo, ukizingatia nchi za ulimwengu Wa tatu watu wengi uelewa ni Mdogo hivyo inabidi anayekuwa madarakan awazuie vibaraka kama zitto kabwe na mbowe kusambaza uongo
 
Niliwahi kusema Magufuli siyo mungu kutokosea wala si malaika , sababu hata kabla ya kuchukua form kuna mambo tuliwahi kutofautiana, lakini kulingana na aina ya wagombea aliosimama nao niliona angalau ana uafadhali kwa asilimia 45 ya kuwa raisi wetu.

Vyama vingine vilisimamisha wezi wa mifugo kwenye Ranchi, wezi wa rasilimali, wezi wakubwa na wapiga dili, kwa upande mwingine vingine vilisimamisha wasio na uwezo kumtizamo.

Wengine nia ilikuwa kuongeza ruzuku kama ACT,

Sasa kwa yanayoendelea juu ya uongozi wa rais Magufuli tuyakubali hivyo hivyo hakuna kiongozi malaika , japo yanakuzwa sana na wapinzani, ambao walisimamisha watu kwa tamaa tu, tumuunge mkono magufuli,

Ni mara mia akaikanyaga demokrasia lakini akaleta heshima, na kuwafanya watu kuwajibika, tuache kulialia kama Ben saanane na wengine.
Kura yako uliipiga kwa siri wala haikutakiwa mwingine ajue. Sasa unataka kuihalalisha kwa nani? Unapomaanisha kuwa ana mapungufu haulalamiki?
 
Features za vijana Wa chadema zinatokana na viongozi wao, kujadili mambo yaliyo nje ya mada , mi nimefanya tafiti mara nyingi sana ukiwa kwenye mahojiano na kijana Wa chadema utaishia kumchalaza vibao, maana hoja zao nyepesi, kijana pekee alowahi kuwa chadema akawa na akili ni john john mnyika, wengine Nina mashaka juu ya thinking capacity yao, kama wewe hapa badala ya kuja hoja ya kujibu unasema buku saba
Tafiti zako zimechapishwa wapi mkuu ? Au kwenye viunga vya Lumumba, ?
#TuendeleeKuComment
#Buku7fc
#JazaPage
#NchiYaMashetani
 
Kura yako uliipiga kwa siri wala haikutakiwa mwingine ajue. Sasa unataka kuihalalisha kwa nani? Unapomaanisha kuwa ana mapungufu haulalamiki?
Nawaambieni walalamikaji nyie, msiokuwa na kazi za kufanya kwa uzembe wenu
 
d3d0cb0f9eb9c3e6cda9b6f388a274a9.jpg
 
Features za vijana Wa chadema zinatokana na viongozi wao, kujadili mambo yaliyo nje ya mada , mi nimefanya tafiti mara nyingi sana ukiwa kwenye mahojiano na kijana Wa chadema utaishia kumchalaza vibao, maana hoja zao nyepesi, kijana pekee alowahi kuwa chadema akawa na akili ni john john mnyika, wengine Nina mashaka juu ya thinking capacity yao, kama wewe hapa badala ya kuja hoja ya kujibu unasema buku saba

 
Niliwahi kusema Magufuli siyo mungu kutokosea wala si malaika , sababu hata kabla ya kuchukua form kuna mambo tuliwahi kutofautiana, lakini kulingana na aina ya wagombea aliosimama nao niliona angalau ana uafadhali kwa asilimia 45 ya kuwa raisi wetu.

Vyama vingine vilisimamisha wezi wa mifugo kwenye Ranchi, wezi wa rasilimali, wezi wakubwa na wapiga dili, kwa upande mwingine vingine vilisimamisha wasio na uwezo kumtizamo.

Wengine nia ilikuwa kuongeza ruzuku kama ACT,

Sasa kwa yanayoendelea juu ya uongozi wa rais Magufuli tuyakubali hivyo hivyo hakuna kiongozi malaika , japo yanakuzwa sana na wapinzani, ambao walisimamisha watu kwa tamaa tu, tumuunge mkono magufuli,

Ni mara mia akaikanyaga demokrasia lakini akaleta heshima, na kuwafanya watu kuwajibika, tuache kulialia kama Ben saanane na wengine.

Kama ulifanya maamuzi sahihi, basi hupaswi hata kuhangaika kujieleza kwenye mitandao. Lakini tukikuona unahangaika kuandka maelezo marefu kama vile umehojiwa, tunajua wazi nafsi yako inakusuta. Pole mkuu.
 
Kama ulifanya maamuzi sahihi, basi hupaswi hata kuhangaika kujieleza kwenye mitandao. Lakini tukikuona unahangaika kuandka maelezo marefu kama vile umehojiwa, tunajua wazi nafsi yako inakusuta. Pole mkuu.
Nawaeleza ninyi
 
Back
Top Bottom