Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Walifanya ujinga gani ?!. Wananchi waliwachagua battalion na deraya zao zikazingira ukumbi wa bwawani. Huku ng'ambo ngoja kina Nape, December na Kinana yawakute . Walichezea maamuzi ya wananchiWapinzani ndio wanaotungusha nchi hii, ujinga walioufanya 2015 inaligharimu Taifa kwa muda mrefu sana.