Uchaguzi 2020 Pamoja na Mapungufu ya Magufuli akisimama mwaka 2020 na wafuatao ntamchagua tena

Wapinzani ndio wanaotungusha nchi hii, ujinga walioufanya 2015 inaligharimu Taifa kwa muda mrefu sana.
Walifanya ujinga gani ?!. Wananchi waliwachagua battalion na deraya zao zikazingira ukumbi wa bwawani. Huku ng'ambo ngoja kina Nape, December na Kinana yawakute . Walichezea maamuzi ya wananchi
 
Walifanya ujinga gani ?!. Wananchi waliwachagua battalion na deraya zao zikazingira ukumbi wa bwawani. Huku ng'ambo ngoja kina Nape, December na Kinana yawakute . Walichezea maamuzi ya wananchi
Magufuli anachangamoto nyingi, ila Lowasa lingekuwa tatizo kubwa zaidi kwa nchi yetu...
 
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe

Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,

Pia itategemea Chadema atasimama nani,

Simba akizidiwa ula Nyasi

Britannica
Umeshindwaje kutaja upande wa Saccos ya Chadema au kwa kuwa siyo chama cha siasa ila ni Saccos ya Mtei na Mbowe!
 
Pascal Mayalla heshima kwako mkuu. Sijataka kunukuu bandiko lako lote lakini umeeleza vizuri na kwa kina.

Kwa upande wangu, hata kama mtu hataki kumchagua mheshimiwa aliyepo madarakani, hatuna mbadala au upinzani thabiti, haupo.
Alichosema Pascal ni sawa na kuwaambia wachumba kwa vile washaonesha kuwa wanaupendo wa dhati, na wameshazaa watoto kadhaa basi hakuna haja ya wao kufunga ndoa!
 
Mkuu Britannica, heading yako haijakaa sawa, na contents pia haijakaa sawa.

Heading yako hii

"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli akisimama mwaka 2020 na wafuatao ntamchagua tena", hillo neno "akisimama" hapo ulipoliweka, lina canotation meaning ya possibility ya
kama akisimama as if anaweza asisimame, wakati ukweli ni kuwa kwa mujibu wa taratibu za CCM, rais Magufuli ndie mgombea pekee wa CCM kwa 2020, hivyo hiyo akisimama haikupaswa kuwa hapo ulipoiweka.

Najua nia yako ni kumtumia rais Magufuli as comparator kumlinganisha na hao uliowataja, yaani akisimama na wafuatao, heading yako ingepaswa iwe
"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli, mwaka 2020 akisisimama na wafuatao, ntamchagua tena".

Sasa nije kwenye contents
Kwavile jina la Magufuli limetanguliwa na pre qualifications "mapungufu" neno hilo ni pre qualifier, ulipaswa kwenye content uyaseme hayo mapungufu.

Mwisho ni my take.
Kwa my honest opinion, hujamtendea haki Zitto kwenye u serious.
Kwangu uchaguzi wa 2020, Zitto ndie the one and only mgombea mwenye impact kama akisimama na Magufuli.

Ni kwa vile the political playing field ya the game of politics kwenye siasa zetu is not level, kwenye uchaguzi wetu wa rais ni kama kugombea kisu cha makali kuwili, huku mgombea mmoja ameshika kwenye mpini, mwingine kwenye makali kuwili.
Mgombea mmoja anazunguka na full state backing ya a sitting president na ving'ora, media, state campaign budget, msafara wa state cars, huku mwingine with nothing, halafu watu hawa washindane, unategemea nini?.

Wenzetu nchi za Scandinavian na Nordic, wagombea urais wao lazima wafanane, hata kama alikuwa a sitting president anayegombea kwa mara ya pili, ile presidential status yake inakuwa scraped yote isipokuwa ulinzi, hakuna msafara, hakuna kumtumia state funds na wagombea wingine wote wa urais wanapatiwa state security na vyama kupewa ceiling ya campaign spending ili kutengeneza level playing field, wagombea wote wafanane, watu washindanishe sera na kujieleza.

Just imagine Zitto asimame na Magufuli, halafu Zitto naye apewe vitu vyote kama Magufuli, washindanishe sera na kujieleza, kiukweli kabisa, Magufuli atakuwa na kazi, kitakacho mfanya Magufuli ambwage Zitto ni his good track record ya deliveries, Flyovers, ndege, SGR, Stigler, Elimu bure, Afya, maji, maendeleo ya kuonekanika, Tanzania ya viwanda, etc, wakati Zitto atakuwa hana national deliveries zozote to compare, ndio maana nimeshauri humu kwa 2020, Tanzania hatuna haja ya kufanya uchaguzi wa rais, Magufuli atosha.

P

 
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe

Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,

Pia itategemea Chadema atasimama nani,

Simba akizidiwa ula Nyasi

Britannica
Ndugu hapo ni Magufuli na Zitto tuu, na ngoma itakuwa kali sana.
 
Mkuu Britannica, heading yako haijakaa sawa, na contents pia haijakaa sawa.

Heading yako hii

"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli akisimama mwaka 2020 na wafuatao ntamchagua tena", hillo neno "akisimama" hapo ulipoliweka, lina canotation meaning ya possibility ya
kama akisimama as if anaweza asisimame, wakati ukweli ni kuwa kwa mujibu wa taratibu za CCM, rais Magufuli ndie mgombea pekee wa CCM kwa 2020, hivyo hiyo akisimama haikupaswa kuwa hapo ulipoiweka.

Najua nia yako ni kumtumia rais Magufuli as comparator kumlinganisha na hao uliowataja, yaani akisimama na wafuatao, heading yako ingepaswa iwe
"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli, mwaka 2020 akisisimama na wafuatao, ntamchagua tena".

Sasa nije kwenye contents
Kwavile jina la Magufuli limetanguliwa na pre qualifications "mapungufu" neno hilo ni pre qualifier, ulipaswa kwenye content uyaseme hayo mapungufu.

Mwisho ni my take.
Kwa my honest opinion, hujamtendea haki Zitto kwenye u serious.
Kwangu uchaguzi wa 2020, Zitto ndie the one and only mgombea mwenye impact kama akisimama na Magufuli.

Ni kwa vile the political playing field ya the game of politics kwenye siasa zetu is not level, kwenye uchaguzi wetu wa rais ni kama kugombea kisu cha makali kuwili, huku mgombea mmoja ameshika kwenye mpini, mwingine kwenye makali kuwili.
Mgombea mmoja anazunguka na full state backing ya a sitting president na ving'ora, media, state campaign budget, msafara wa state cars, huku mwingine with nothing, halafu watu hawa washindane, unategemea nini?.

Wenzetu nchi za Scandinavian na Nordic, wagombea urais wao lazima wafanane, hata kama alikuwa a sitting president anayegombea kwa mara ya pili, ile presidential status yake inakuwa scraped yote isipokuwa ulinzi, hakuna msafara, hakuna kumtumia state funds na wagombea wingine wote wa urais wanapatiwa state security na vyama kupewa ceiling ya campaign spending ili kutengeneza level playing field, wagombea wote wafanane, watu washindanishe sera na kujieleza.

Just imagine Zitto asimame na Magufuli, halafu Zitto naye apewe vitu vyote kama Magufuli, washindanishe sera na kujieleza, kiukweli kabisa, Magufuli atakuwa na kazi, kitakacho mfanya Magufuli ambwage Zitto ni his good track record ya deliveries, Flyovers, ndege, SGR, Stigler, Elimu bure, Afya, maji, maendeleo ya kuonekanika, Tanzania ya viwanda, etc, wakati Zitto atakuwa hana national deliveries zozote to compare, ndio maana nimeshauri humu kwa 2020, Tanzania hatuna haja ya kufanya uchaguzi wa rais, Magufuli atosha.

P
Unarudia sana kuwa 2020 hakuna haja ya kufanya uchaguzi aendelee huyohuyo.
Nasema hivi Pasco, HATUTAKI NA TUTAMTOA ili nchi hii itoke kwenye lile kundi la nchi zisizo furaha.
Hivi Pasco wewe hupendi familia yako iwe na furaha?
CCM wenyewe hawamsimamishi tena na hilo analijuwa wazi ndio maana mikwara mingi na kutumia wapiga debe kina Musiba. Na kutopitishwa na chama chake ndio demokrasia waache vitisho utadhani yeye pekee ndio ana hati miliki ya kiti hicho na utaratibu huo ameukuta wa kura za mpeperusha bendera
 
CCM wenyewe hawamsimamishi tena na hilo analijuwa wazi ndio maana mikwara mingi na kutumia wapiga debe kina Musiba. Na kutopitishwa na chama chake ndio demokrasia waache vitisho utadhani yeye pekee ndio ana hati miliki ya kiti hicho na utaratibu huo ameukuta wa kura za mpeperusha bendera
Mkuu Chakaza, CCM unaijua au
unaisikia tuu?. Unaujua utaratibu wa CCM kwa rais aliyemadarakani kipindi cha kwanza?. Anyway kujifurahisha ruksa.
P
 
Mkuu Britannica, heading yako haijakaa sawa, na contents pia haijakaa sawa.

Heading yako hii

"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli akisimama mwaka 2020 na wafuatao ntamchagua tena", hillo neno "akisimama" hapo ulipoliweka, lina canotation meaning ya possibility ya
kama akisimama as if anaweza asisimame, wakati ukweli ni kuwa kwa mujibu wa taratibu za CCM, rais Magufuli ndie mgombea pekee wa CCM kwa 2020, hivyo hiyo akisimama haikupaswa kuwa hapo ulipoiweka.

Najua nia yako ni kumtumia rais Magufuli as comparator kumlinganisha na hao uliowataja, yaani akisimama na wafuatao, heading yako ingepaswa iwe
"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli, mwaka 2020 akisisimama na wafuatao, ntamchagua tena".

Sasa nije kwenye contents
Kwavile jina la Magufuli limetanguliwa na pre qualifications "mapungufu" neno hilo ni pre qualifier, ulipaswa kwenye content uyaseme hayo mapungufu.

Mwisho ni my take.
Kwa my honest opinion, hujamtendea haki Zitto kwenye u serious.
Kwangu uchaguzi wa 2020, Zitto ndie the one and only mgombea mwenye impact kama akisimama na Magufuli.

Ni kwa vile the political playing field ya the game of politics kwenye siasa zetu is not level, kwenye uchaguzi wetu wa rais ni kama kugombea kisu cha makali kuwili, huku mgombea mmoja ameshika kwenye mpini, mwingine kwenye makali kuwili.
Mgombea mmoja anazunguka na full state backing ya a sitting president na ving'ora, media, state campaign budget, msafara wa state cars, huku mwingine with nothing, halafu watu hawa washindane, unategemea nini?.

Wenzetu nchi za Scandinavian na Nordic, wagombea urais wao lazima wafanane, hata kama alikuwa a sitting president anayegombea kwa mara ya pili, ile presidential status yake inakuwa scraped yote isipokuwa ulinzi, hakuna msafara, hakuna kumtumia state funds na wagombea wingine wote wa urais wanapatiwa state security na vyama kupewa ceiling ya campaign spending ili kutengeneza level playing field, wagombea wote wafanane, watu washindanishe sera na kujieleza.

Just imagine Zitto asimame na Magufuli, halafu Zitto naye apewe vitu vyote kama Magufuli, washindanishe sera na kujieleza, kiukweli kabisa, Magufuli atakuwa na kazi, kitakacho mfanya Magufuli ambwage Zitto ni his good track record ya deliveries, Flyovers, ndege, SGR, Stigler, Elimu bure, Afya, maji, maendeleo ya kuonekanika, Tanzania ya viwanda, etc, wakati Zitto atakuwa hana national deliveries zozote to compare, ndio maana nimeshauri humu kwa 2020, Tanzania hatuna haja ya kufanya uchaguzi wa rais, Magufuli atosha.

P

Labda kama unazungumzia kuwa tu na rais na sio rais bora. Kama tunataka rais bora ni hakika Magufuli sio na hatakaa awe rais bora. Huenda Zito akawa rais bora kwani una ufahamu unaowiana wa mambo ya uchumi wa kitaifa na kimataifa, siasa, kijamii ni. Ni muumini wa demokrasia. Sifa kubwa ya Magufuli ni kuamini katika miundo mbinu na kuisimamia, lakini hana ufahamu wa uchumi, siasa zote za kitaifa wala kimataifa, hawezi wala haimudu demokrasia. Kwa ujumla anaendesha nchi kizamani katika dunia ya kisasa.
 
Teh huyu Lotayesa nilikuwa napenda lile zee la bao la mkono lilivyokuwa linatangaza matokeo ya kura
Anavyo tamka kwa madaha
 
Hebu tusaidie na sisi...
Zitto Kabwe kafanya mambo gani Kwa Jamii ili watanzania Tumuamini tumpe kura

Ukitaka kuoa mwanamke lazima uonyeshe uliwafanyia nini wanawake wengine kabla ya kuoa ndio uaminiwe kupewa mke? Kiongozi anapimwa kwa kazi aliyofanya akiwa madarakani na sio wakati hajaipata hiyo kazi.
 
Taja kazi tano alizofanya Nyerere hadi akawa rais wa Tanzania na kuishia kukaa madarakani kwa 24yrs.
Are you for real! Huzijui?
Kama huzijui, bila shaka hata za Tundu Lissu hizijui, ndio maana ukaishia kutoa mipasho kama hii badala ya kumpa jibu huyo aliyeuliza kazi alizofanya Tundu Lissu; ambazo zipo nyingi na zinajulikana.
 
Hivi Kuna mtu ambaye anatumia ubongo wake sawa sawa anaweza kuchagua tofauti na Magufuli kwenye orodha hiyo?
mungu akihamua anaweza uyo ngosha wenu asiwe raisi mwaka 2020,na January ndo akashika nchi au nape, au ikawa vyovyote,, nyepesi nyepesi kamati kuu hawatompa muhula mwingine
 
Back
Top Bottom