Nataman Sana kujua kazi Tano za TUNDU alizowahi kuzifanya ambazo zitasababisha watanzania wamuamini na kumpa kura...Hahahahahaaa Unamuogpasana Lissu hata kumtaja tu unatetemeka. Najua unamkubali ila sasa kumtaja mbele ya ccm wenzako watasema.unamhujum rais....hahahaaa
..kwangu mimi kumchagua Magufuli ni sawa na kukubali ukatili, ubaguzi, na upendeleo, uendelee.
..hatuwezi kuwa na nchi ambayo haina haki sawa kwa wananchi wote. hakuna haki sawa kisiasi, kiuchumi, na kijamii.
,,kwa mtizamo wangu Zitto Kabwe will make a much better President than Magufuli.
Nataman Sana kujua kazi Tano za TUNDU alizowahi kuzifanya ambazo zitasababisha watanzania wamuamini na kumpa kura...
HATARI YA DANGER AU DENGERUA!?Kama bado tunadhani kutakuwa na uchaguzi 2020 tujitafakari upya
View attachment 1163928
Why not boss?Nape????
Wapinzani ndio wanaotungusha nchi hii, ujinga walioufanya 2015 inaligharimu Taifa kwa muda mrefu sana.Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe
Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,
Pia itategemea Chadema atasimama nani,
Simba akizidiwa ula Nyasi
Britannica
Mpeni nafasi acheni woga, mpeni uwanja tu wa siasa yote unayotaka kujua utayaona kwa macho yako. Unataka kumuuliza mtoto mdogo kamfanyia nini baba yake??Nataman Sana kujua kazi Tano za TUNDU alizowahi kuzifanya ambazo zitasababisha watanzania wamuamini na kumpa kura...
Kile chama kingine hakijaandaa mgombea...
Membe ama Nape wanaweza kupewa nafasi kugombea kule
😁 😁Wabasubiri makapi
Mkuu unaposema haki sawa unamaanisha nini? Au unaongelea matabaka?hatuwezi kuwa na nchi ambayo haina haki sawa kwa wananchi wote. hakuna haki sawa kisiasi, kiuchumi, na kijamii
Kushiriki uchaguzi ni sawa na kulima nafaka kwenye hifadhi ya wanyama pori.Ni Sawa na kuweka maji kwenye gunia au Kujaza upepo kwenye gurudumu lililotoboka.Mimi nitaungana na watanzania wengi kutopiga kura hadi itakapopatikana katiba mpya.
Katika muktadha huu ambao nguvu ya CCM ni mchanganyiko wa CCM+POLISI +VYOMBO VINGINE VYA DOLA, kushiriki uchaguzi ni sawa na kulima nafaka kwenye hifadhi ya wanyama pori.
Mbona umemshindanisha na watu dhaifu? Ina maana kule CHADEMA hukuona majembe?Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe
Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,
Pia itategemea Chadema atasimama nani,
Simba akizidiwa ula Nyasi
Britannica
Kampeni za wale walozi wa Gamboshi? Mimi nachukua fomu tuzione hizo harakati zao; wanamtisha nani?LOOooh.Ndio mwanzo huu wa hiyo kampeni?