britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,647
- 30,009
Kila nchi ya afrika wanachukia sana polisi wao kisa
1. Kubambikiziwa kesi, unaweza ukakamatwa ukawekewa bangi mfukoni ionekane una makosa,au ukaambiwa unamiliki silaha kinyume cha sheria,
2. Unaweza tozwa faini ya kuzidi kiwango unachotakiwa kutoa hasa kwa nchi majirani, na usiku wanalazimisha uwape rushwa kwa kujifanya wanalinda usalama wanapatikana Kenya hawa kaanjoo,
3. Unaweza pigwa na polisi hata kama huna kesi mambo yatajulikana mbeleni au saa nyingine ukapigwa risasi kabisa wakati uhusiki na uarifu,
4. Wanatumia nguvu kubwa kukamata waharifu badala vya kutumia njia stahiki,
5. Pengine huchukua mali za watu hasa mipakani na askari wa jiji kula chakula Cha mama ntilie,
Hizo ni changamoto ambazo zipo,
Lakin siyo polisi wote wanayapenda hayo, nao wanapitia magumu ambayo raia wa kawaida anapita, wana huruma pia hata ikitokea wakaua bahati mbaya ,uomba nmsamaha kwa familia husika,
Siyo polisi wote ni wabaya wengi wameonekana kutoa ushirikiano katika kulinda raia na usalama wake,
So kila polis anakula rushwa wengine wanaiogopa kama ukoma,
Sio Kila polisi anatumia njia isiyo sahihi kumkabili muarifu wengine wako na adabu,
Tuwapongeze kwa kulinda amani yetu mtaani na kupunguza ujambazi, tuwapongeze kwa ilo
Uarifu na vibaka,utekaji magari, na uvunjaji sheria umepungua kwa kasi, hata polisi wa usalama barabarani wamepunguza sana ajali, pia madawa ya kulevya na vitendo kama hivo vimepungua,
Pia na. sisi tutii sheria bila shuruti
Jioni njema
Britannica
1. Kubambikiziwa kesi, unaweza ukakamatwa ukawekewa bangi mfukoni ionekane una makosa,au ukaambiwa unamiliki silaha kinyume cha sheria,
2. Unaweza tozwa faini ya kuzidi kiwango unachotakiwa kutoa hasa kwa nchi majirani, na usiku wanalazimisha uwape rushwa kwa kujifanya wanalinda usalama wanapatikana Kenya hawa kaanjoo,
3. Unaweza pigwa na polisi hata kama huna kesi mambo yatajulikana mbeleni au saa nyingine ukapigwa risasi kabisa wakati uhusiki na uarifu,
4. Wanatumia nguvu kubwa kukamata waharifu badala vya kutumia njia stahiki,
5. Pengine huchukua mali za watu hasa mipakani na askari wa jiji kula chakula Cha mama ntilie,
Hizo ni changamoto ambazo zipo,
Lakin siyo polisi wote wanayapenda hayo, nao wanapitia magumu ambayo raia wa kawaida anapita, wana huruma pia hata ikitokea wakaua bahati mbaya ,uomba nmsamaha kwa familia husika,
Siyo polisi wote ni wabaya wengi wameonekana kutoa ushirikiano katika kulinda raia na usalama wake,
So kila polis anakula rushwa wengine wanaiogopa kama ukoma,
Sio Kila polisi anatumia njia isiyo sahihi kumkabili muarifu wengine wako na adabu,
Tuwapongeze kwa kulinda amani yetu mtaani na kupunguza ujambazi, tuwapongeze kwa ilo
Uarifu na vibaka,utekaji magari, na uvunjaji sheria umepungua kwa kasi, hata polisi wa usalama barabarani wamepunguza sana ajali, pia madawa ya kulevya na vitendo kama hivo vimepungua,
Pia na. sisi tutii sheria bila shuruti
Jioni njema
Britannica