Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Pambano hili sitaki kuliangalia,
Sijui ni kwanini Manny Pacquiao amekubali kupambana na Terence Bud Crawford.
Pacquiao ni Bondia mwenye heshima kubwa sana kwenye Ulimwenguni wa Masumbwi,
Kwa haiba yake unaweza mlinganisha na Lionel Messi La Pulga kwenye Ulimwenguni wa Soka.
Nikiri tu kuwa ni Bondia ambaye namuhusudu sana ndani ya Ulingo na nje ya Ulingo,
Nisingependa kumuona akiendelea kupigana, Napendelea aachane na Ubondia astaafu kwa heshima kwani heshima aliyoiweka ni kubwa mno!
Anataka kuingia kupambana na Crawford
Bondia aliyekamilika, Mwenye IQ kubwa ulingoni, mwenye nguvu mikono yote, Bondia mwenye uwezo wa kupigana aina zote na kutune stances zote (Southpaw na Orthodox), Bondia mwenye njaa ya kupigana na kumaliza mapambano kwa Knockout, Bondia anayetajwa kuwa namba moja Ulimwenguni Pound for Pound, Bondia pekee mwenye uwezo wa kumpiga kirahisi Mayweather, kwa kifupi Crawford ndiye Bondia Bora wa nyakati hizi!
Namkubali Pacquiao na namkubali Crawford nisingependa kabisa kuona Pambano hili la watu ninaowakubali linatokea!
But it is what it is,
Boxing is a Business and anything can happen!
Nahisi Pacquiao atapigwa vibaya na kuchafua CV yake aliyoijenga kwa kipindi kirefu!
Sijui ni kwanini Manny Pacquiao amekubali kupambana na Terence Bud Crawford.
Pacquiao ni Bondia mwenye heshima kubwa sana kwenye Ulimwenguni wa Masumbwi,
Kwa haiba yake unaweza mlinganisha na Lionel Messi La Pulga kwenye Ulimwenguni wa Soka.
Nikiri tu kuwa ni Bondia ambaye namuhusudu sana ndani ya Ulingo na nje ya Ulingo,
Nisingependa kumuona akiendelea kupigana, Napendelea aachane na Ubondia astaafu kwa heshima kwani heshima aliyoiweka ni kubwa mno!
Anataka kuingia kupambana na Crawford
Bondia aliyekamilika, Mwenye IQ kubwa ulingoni, mwenye nguvu mikono yote, Bondia mwenye uwezo wa kupigana aina zote na kutune stances zote (Southpaw na Orthodox), Bondia mwenye njaa ya kupigana na kumaliza mapambano kwa Knockout, Bondia anayetajwa kuwa namba moja Ulimwenguni Pound for Pound, Bondia pekee mwenye uwezo wa kumpiga kirahisi Mayweather, kwa kifupi Crawford ndiye Bondia Bora wa nyakati hizi!
Namkubali Pacquiao na namkubali Crawford nisingependa kabisa kuona Pambano hili la watu ninaowakubali linatokea!
But it is what it is,
Boxing is a Business and anything can happen!
Nahisi Pacquiao atapigwa vibaya na kuchafua CV yake aliyoijenga kwa kipindi kirefu!