wasalaam wakuu.
kama kuna mwana jf anaishi mwanza atakubaliana na mimi pamba road imekuwa na mahandaki.
Hii barabara mwaka jana tu ilizibwa viraka mara mbili kwa zege la kujengea nyumba na sasa mashimo yameongezeka mara dufu.
Nitoe wito kwa mbunge wa jimbo hili atueleze huu mradi anafaidi nani?
====================
kama mbunge hahusiki ni ni majukumu ya mbunge na kuna haja gani ya kuwa na mbunge
Wenje hafai na 2015 tunampiga chini......zamani alikuwa anavaa kikoti cha kimodo ila siku hizi anavaa jikoti kuubwa kitambi hihaaaa! Alafu mbaya zaidi kahamia Dar...na hiyo barabara ya Pamba Rd huwa wanaweka viraka tu baada ya mwaka mmoja inarejea vilevile!!!
wasalaam wakuu.
kama kuna mwana jf anaishi mwanza atakubaliana na mimi pamba road imekuwa na mahandaki.
Hii barabara mwaka jana tu ilizibwa viraka mara mbili kwa zege la kujengea nyumba na sasa mashimo yameongezeka mara dufu.
Nitoe wito kwa mbunge wa jimbo hili atueleze huu mradi anafaidi nani?
Naomba nikuulize Meya anatoka chama gani? je Idadi ya Madiwani ni chama kipi kina Madiwani wengi? Je Mhandisi wa Ujenzi pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri umeweza kuwauliza au kuwaambia juu ya Kadhia hiyo ya barabara?
Ninachokiona hapa wewe unatuletea maneno yako ya chuki juu ya Mbunge huku ukijua kabisa suala zima la kufanikisha kuondoa tatizo hilo lina mkusanyiko wa mlolongo wa viongozi wengi na isitoshe Serikali ndio yenye jukumu kubwa kutekeleza hilo unalolilia na sio Mbunge kama unavyojiaminisha.
Marire kweli kabisa usemacho hakuna cha mbunge wala mkurugenzi wa jiji wote lao moka, nadhani hiyo barabara haiongezi umaarufi wa vyama ndio maana hakuna anaeisemea. Mwisho niseme Magufuli hapo haisiki ni viongozi wetu.wa.jiji
Wenje hafai na 2015 tunampiga chini......zamani alikuwa anavaa kikoti cha kimodo ila siku hizi anavaa jikoti kuub.wa kitambi hihaaaa! Alafu mbaya zaidi kahamia Dar...na hiyo barabara ya Pamba Rd huwa wanaweka viraka tu baada ya mwaka m.moja inarejea vilevile!!!
Chadema tena wewe -------,hiyo barabara ilijengwa na maccm na kuna mkuu wa mkoa alikataaga kuifungua ilikuwa chini ya kiwango. Isitoshe iko chini ya serikali kuu,muulize magufuli. Kama unataka tumjadili Wenje lete mada nyingine s u
acha kutukana kamanda ,jibu hoja.
kazi ya mbunge ni kuisimamia serekali sasa hapa wenje anasimamia nini?
nani atusemee kwa serekali na yeye tulimpa kura za nini?
....tumia akili
wasalaam wakuu.
kama kuna mwana jf anaishi mwanza atakubaliana na mimi pamba road imekuwa na mahandaki.
Hii barabara mwaka jana tu ilizibwa viraka mara mbili kwa zege la kujengea nyumba na sasa mashimo yameongezeka mara dufu.
Nitoe wito kwa mbunge wa jimbo hili atueleze huu mradi anafaidi nani?
Wenje hafai na 2015 tunampiga chini......zamani alikuwa anavaa kikoti cha kimodo ila siku hizi anavaa jikoti kuubwa kitambi hihaaaa! Alafu mbaya zaidi kahamia Dar...na hiyo barabara ya Pamba Rd huwa wanaweka viraka tu baada ya mwaka mmoja inarejea vilevile!!!
Badala umuulize waziri wa Ujenzi au Mkurugenzi ambao ndiyo wanaokusanya kodi yako unamdai mbunge ambaye kazi yake ni kukusemea na anaweza akapeleka matatizo yako serikali ikayaweka kapuni.
Watanzania wengi hamjui ni nani anawajibu wa maisha yako ya kila siku.
wasalaam wakuu.
kama kuna mwana jf anaishi mwanza atakubaliana na mimi pamba road imekuwa na mahandaki.
Hii barabara mwaka jana tu ilizibwa viraka mara mbili kwa zege la kujengea nyumba na sasa mashimo yameongezeka mara dufu.
Nitoe wito kwa mbunge wa jimbo hili atueleze huu mradi anafaidi nani?
Wenje hafai na 2015 tunampiga chini......zamani alikuwa anavaa kikoti cha kimodo ila siku hizi anavaa jikoti kuubwa kitambi hihaaaa! Alafu mbaya zaidi kahamia Dar...na hiyo barabara ya Pamba Rd huwa wanaweka viraka tu baada ya mwaka mmoja inarejea vilevile!!!