Pale wajanja wa DSM walipoingizwa chaka na mwana kolomije

ZE NDINDINDI

JF-Expert Member
Sep 19, 2016
1,885
4,012
Huwezi amini wakati huo mawingu disco linatamba dsm an Arusha jamaa alikuwa anafanya kazi ya kufagia nywele za wateja kwenye salon mitaa ya nyamanoro na alikuwa analala humohumo
Wakati clouds fm inaanzishwa jamaa alikuwa anakaribia kuzungusha division ZERO pale pamba sec school evening class
Leo mjanja wa dar es salaam analalamika redioni kwamba jamaa hakuwalipa kwenye ile kampeni ya Dar es salaam mpya waliyokuwa wanamrusha live,KIPINDI KILE TULIULIZA KUHUSU GHARAMA MKATUAMBIA MNARUSHA BURE NA TUNAJUA IDEA ILIKUWA YENU WANA MAWINGU halafu mwana kolomije kawa swindle
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Haki ya nani bangi mbaya sana... Umesikiliza interview? Ruge kasema walifanya for free sasa hayo ya kuzulumiana yametoka wapi? Acheni kuwa mnaleta story za kiboya mnajidhalilisha. Kuwa nyumbu isiwe sababu ya kuleta ugoro.
 
Inaonekana kuna kakitu nyuma yake kanampa ....


Tutakajua tu hako kakitu!



Haiwezekani afanywe msafi akiwa amechafuka kiasi hiki


Kuna kitu NYUMA yake!
 
Hehehe, bado mie msukuma halisi kuiongoza Dar , born town mtajinyonga awamu hii, tulieni mfundishwe adabu mmekalia umbea na kula chipsi tu.
 
Haki ya nani bangi mbaya sana... Umesikiliza interview? Ruge kasema walifanya for free sasa hayo ya kuzulumiana yametoka wapi? Acheni kuwa mnaleta story za kiboya mnajidhalilisha. Kuwa nyumbu isiwe sababu ya kuleta ugoro.
Mkuu huwa unaamini kila usikiacho?
CMG si taasisi ya Msaada.
Jamaa ni wachuuzi,
Hata wakuambieje kama hawakukamatishwa mwanzo yalikuwepo matarajio ya kufidia gharama zao siku za usoni,
Kwa utaratibu gani usiniulize mimi.

Sasa wamevurugana(Kwa Makandokando) Tuungane kutega Masikio na Macho kodo
Tutaona na tutayasikia mengi tuwe na subira tu.
 
Back
Top Bottom