princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,062
Ukiwa huna bangaloo/hela hata wadudu wanakudharau style kaa hii chaliangu..
@ChaliiYaKijengeJuu.
@ChaliiYaKijengeJuu.
sio mchezouwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tusake tu izo ma'moneygram kuepuka vitu kaa izi aseeuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mtoto halali na pesa ila mkubwa analala na mijusi sio??Kama unalala mahali kama hapo kwa nini wasipite
Mzee yanga nakuonaKuna demu mmoja niliwahi kuwa nae ukitaka akupe hata figo yake mtishie mjusi anaogopa kiasi cha kuweza kuzimia.
Yaani akiona mjusi chumbani ndiyo halali tena humu.

Me pia naogopa kinyama Mijusiiwise hasa yale ya Blue na wekundu.Kuna demu mmoja niliwahi kuwa nae ukitaka akupe hata figo yake mtishie mjusi anaogopa kiasi cha kuweza kuzimia.
Yaani akiona mjusi chumbani ndiyo halali tena humu.
HahahaMwili wenyewe ushakufa ganzi.
Yale yanauma kabisa. Mimi ukimpika namla bila mboga.Me pia naogopa kinyama Mijusiiwise hasa yale ya Blue na wekundu.
Sijakuelewa/ hujanielewa.Mzee yanga nakuona![]()
Mi namuogopa mende kupindukia, hasa yule mkubwaKuna demu mmoja niliwahi kuwa nae ukitaka akupe hata figo yake mtishie mjusi anaogopa kiasi cha kuweza kuzimia.
Yaani akiona mjusi chumbani ndiyo halali tena humu.
Mende ni rafiki yangu sana, yule mkubwa namla sana na pilipili. Kitoweo kizuri sana kile.Mi namuogopa mende kupindukia, hasa yule mkubwa
DuuhMende ni rafiki yangu sana, yule mkubwa namla sana na pilipili. Kitoweo kizuri sana kile.

