Watu wengine mnaonekana wajanja kumbe huwa mnatendwa pia....
nisimkoshe sana kwa kuwa anaweza naye kuja kuwa mikononi kwangu.
hahahaha masai dada alie tu huko hakuna kulala na hela
Nani kakupa kibali cha kuandika huu wimbo humu
Pacha upokumbe mwaka umekatika Pacha,bado hujasahautu,mwenzio ameshasahau hata kama ulikuwepo...