Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 46,988
- 39,784
- Thread starter
- #21
pole jamani kumbe umetendwaga
asante, ndio mojawapo ya changamoto tunazozipitia ktk maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole jamani kumbe umetendwaga
hayajakukuta, shekeli zinasakwa pamoja na hayo yote.
asante, ndio mojawapo ya changamoto tunazozipitia ktk maisha
huwa inatokea, time heals.
hayajakukuta, shekeli zinasakwa pamoja na hayo yote.
mapenzi pesa na dini vinarun dunia
kumbe mwaka umekatika Pacha,bado hujasahautu,mwenzio ameshasahau hata kama ulikuwepo...mwaka na zaidi sasa, ila namkumbuka sana.
kumbe mwaka umekatika Pacha,bado hujasahautu,mwenzio ameshasahau hata kama ulikuwepo...
pole kwa maswahibu yaliyokupata mwaya yote ni maisha
ila achana naye huyo utampata mwingine usimuwaze
ukimuwaza utajiletea magonjwa bure na ushindwe
kufanya mambo yako ya maisha cha kufanya
wewe fanya mambo yako tu achana naye
mbona mm nili:flypig::flypig: usijipe presha bestito
mh! mwaka na is an alarming long time kukaa unamuwaza mtu aliyekuacha. you need professional advice...seriously.
Yamenikuta sana,sasa unavyomfikiria ivyo ye atajirudi?au anajua unamuwaza?kila jambo na wakati wake,ndo mana kuna wakati uliopita,uliopo,na ujao,
njoo tufarijiane
tushirikiane kumtokomeza Adui namba moja MICHEPUKOasante, ila faraja hii isiwe na mwisho.
tushirikiane kumtokomeza Adui namba moja MICHEPUKO
hilo tu usijali, tuta share kila kitu kwa uaminifu sio phone tu
wewe bado unamkumbuka mchumba ako wakati mwaka umepita mimi kaniacha kama mwezi sasa JINA LAKE TU SIMKUMBUKI
huyu ni miongoni mwa wale uliopata wkt unatafta mwenye mtoto? Samahani lakini
nilipost mbili nyingine nilikua natafuta mchumba tu
YEES NDO HUYO KABLA HATUJAONANA NIKAPEWA KIBUTI UNADHANI NITAKUFAA