Angefanya hivyo kwenye kiti cha kioo mambo yangekuwa muswano.
Hii kali kuliko duh
Hicho kioo kiwe pande zota mbili au?????
Khaaaaaaa sasa mkuu saudari unafikiri kama sio mipango ya kishetani ni nini?kutaka kuzifaidi mali za wenzio hata kwa macho si mipango ya kishetani,looooohhhh na amekomeshwa nadhani hataruudia tena.Kumbe na huo ni mpango wa kishetani?
Mama wa kubadili Avatar upo? Kwani kuna kioo cha kuona upande mmoja..Hicho kioo kiwe pande zota mbili au?????
Mama wa kubadili Avatar upo? Kwani kuna kioo cha kuona upande mmoja...
Umeona kale katoto kana kukosesha ulaji nini?Mhhhhhh wewe hiyo ya kubadili avatar umelitolea wapi labda na unaweza kuzimention avatar nilizobadilisha??????