Kichaa Msafi
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 1,090
- 2,141
umeshindwa kupata mwanamke bikra unataka ukaitoe ya paka, rafiki yake shetani wewe
AhahaaaYeye ni binadamu, huenda hana mtoto na bikra hana, angekuwa mnyama na hana mtoto angekuwa bikra sawa na maelezo yako[emoji23]
Mrembo hujambo?Ahahaaa
Me mwanamke mkuuumeshindwa kupata mwanamke bikra unataka ukaitoe ya paka, rafiki yake shetani wewe
paka kama wanyama wengine mfano mbwa, ng'ombe, mbuzi n.k nao hufikia kipindi cha joto...nadhani umenielewa, kipindi hiki huangaika sana kutafuta midume, unaweza usigundue wanatoka mda gan kurud mda gan ila utastukia ni mjamzito....Watazaaje na dume hakuna?
Wakizaa nitawatupa watoto wao .sitaki gharama mimipaka kama wanyama wengine mfano mbwa, ng'ombe, mbuzi n.k nao hufikia kipindi cha joto...nadhani umenielewa, kipindi hiki huangaika sana kutafuta midume, unaweza usigundue wanatoka mda gan kurud mda gan ila utastukia ni mjamzito....
mark my words.
By the way how is your valentine baby doing?
We tu ndo umeligumusha !!!.Hili swali guumu
Hahahaha ako kanaitwa kaswali chonganishi , hapo tunapata maelezo tofauti tofauti matatu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yeye ni binadamu, huenda hana mtoto na bikra hana, angekuwa mnyama na hana mtoto angekuwa bikra sawa na maelezo yako[emoji23]
Ukimwi napima sana hata jpili nilipima tena kipimo cha hatari kinaitwa unigoldWe tu ndo umeligumusha !!!.
Swali easy ,a matter of saying Yes or Not ..
Sawa ukiulizwa Ulishapima Ukimwi?? Utasemaje
Hongera pia kwa hilo!!.Ukimwi napima sana hata jpili nilipima tena kipimo cha hatari kinaitwa unigold