Hildafranc
Senior Member
- Jan 29, 2015
- 103
- 32
Napenda kujua kama inatatizo lolote, pia bei yake kwenye yard ina range kiasi gani.
Napenda kujua kama inatatizo lolote, pia bei yake kwenye yard ina range kiasi gani.
Una maanisha nini?Kula gwara milioni
imepigwaje rangi
imepigwaje rangi
Ilitakiwa ngapi mkuu nipate pa kuanzia maana nataka kumtafuta hiyo mtuMkuu hiyo gari kwa price hiyo utakesha!!
Hiyo gari umetoa sana mwisho million 5....Ilitakiwa ngapi mkuu nipate pa kuanzia maana nataka kumtafuta hiyo mtu
Mkuu hiyo ishakula 200,000 kms so shusha bei hiyo.Mkuu gari haina tatizo lolote,ni nzima kabisa,kwenye Yard ina range kwenya 14-15million
Mkuu hiyo ishakula 200,000 kms so shusha bei hiyo.
Nawasaidia wengine wasiliwe mkuu....UchocheI huo
Hiyo gari umetoa sana mwisho million 5....
Kms 200,000/= ni gari chakavu sana.... yaani imetumika mno...
Hizo gari kuagiza toka Japan ni 10_13M
Nawasaidia wengine wasiliwe mkuu....
Hizo gari kms kwa kilomita hizo kwa 9M ni wizi!!
Na kwa nini umwambie mtu ni mwizi??
Nimetoa ushauri tu.... 9M mtu anapata gari kali sana sio chakavu kama hiyo!!Mkuu tusiharibiane biashara tafadhali, tena tafadhali sana,sijalazimisha mtu kununua.Unafikiri mimi mpaka kuuza hiyo bei ni mjinga?
Haya kula mil 5 hii5mls,fasta nakupa