Paja la kuku

Paja la kuku

Honey kumbe na wewe ni hivo? mimi ni opposite kidogo. Nilipokua mdogo mama alikua anatupa paja mimi na mdogo wangu wa kike. then alipo zaliwa mdogo wangu tena wa kiume (we are a big family) nikashangaa siku moja mama anawapa wenyewe mapaja. Nilipo uliza nikaambiwa paja ni ya watoto. Basi since then sipendi mapaja, hata nikienda restaurant na watoto alafu nipewe tight, nakula the upper part alafu lile paja lenyewe nawapa watoto. lol
 
yeah ni tatizo, mazingira na maisha uluyoishi huko nyuma yamejengeka akilini mwako, ila ukiamua kusahau na kubadilisha inawezekana

its too late siwezi tena,lakini naenjoy na parts nyingine tu
 
Atajuaje ni baya kama mzazi wake alikua anapigwa na kuvumilia? Mtu anajifunza kwamba hiyo ndio namna ya kuishi. Ndio maana bado wapo wanaume wanaosema wanawake wanahitaji kuadabishwa sometimes, kwamba bila kipigo kama ni kosa wamefanya watarudia. Hii inatokana na kukulia kwenye mazingira ambayo kipigo ndicho kilichokua solution. Kama ambavyo mtu anaweza akakua na hii mentality ya "paja ni la kuku, baba kwanza" n.k

ukinigusia hapo kwenye paja naanza kukusuport.Ni vyema wazazi wajifunze malezi sio kuzaa tu
 
Honey kumbe na wewe ni hivo? mimi ni opposite kidogo. Nilipokua mdogo mama alikua anatupa paja mimi na mdogo wangu wa kike. then alipo zaliwa mdogo wangu tena wa kiume (we are a big family) nikashangaa siku moja mama anawapa wenyewe mapaja. Nilipo uliza nikaambiwa paja ni ya watoto. Basi since then sipendi mapaja, hata nikienda restaurant na watoto alafu nipewe tight, nakula the upper part alafu lile paja lenyewe nawapa watoto. lol

hee,wewe mpenzi wa familia A Kama lizzy wazazi wenu walikuwa wameelimika eh,.
 
Kwa wale ambao maisha yao ya utoto hayakutofautiana na yangu watapata picha halisi.
Nilizaliwa kwenye familia yenye kipato cha chini na kula kuku mpaka xmax.Na kuku akipikwa utamsikia mama 'hilo paja ni la baba' kwa hiyo sisi tunakula vipande vingine.
Hii tabia imeendelea kujijenga kichwani mwangu kiasi kwamba na utu uzima wangu kula paja kwangu ni mwiko, hata nikila na mtu nitakula vipande vingine nikwepe paja.
Hili ni tatizo ama?

Ni athari ya kisaikolojia tu...ukijitahidi kuanza kula utazoea tu!!!
 
Mi nina shida moja..
Chakula chenye nyama,sitakula ile nyama hadi mwisho kabisa. Nikitafuna nyama,ujue nimeshindwa kumalizia hicho chakula..
 
Kwani wewe unatamani kula paja la kuku?
Kama unatamani anza kidogo kidogo...
Ila kama unaona vipi achana nayo maana hakuna ulazima sana kiafya

tatizo ni kuwa najiona kama namiss kitu vile
 
Utamaduni mbaya sana huo. . .
Eti baba kwanza, watoto mwisho. . . Baba wali watoto ugali, baba mayai na maziwa watoto kiporo. Wakati watoto wanahitaji virutubisho zaidi ya baba.
lizzy na wewe umepitia huko nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom