arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
bora puliza yenye harufu isiyo kali na pia iwapo mwenzio akikwambia kama harufu yako inakera basi jaribu kujirekebisha,mwenzetu hapa kazini tulimwambi akasema mnanionea gere wakati perfume yake inanuka majani ya muarubaini wakuchemsha, na chakukera zaid kila baada ya saa anajipulizia ndio inazidi harufu mbaya....