mohammad_othar
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 247
- 42
Kama ni repost mtanisamehe
Padri alitangaza kila mtu atoe mchango kulingana na uzuri wa mke wake...bac watu wakaanza kutoa 50,000/=, 30,000/= na 20,000/=
Kuna jamaa akatoa 500/=
Padri akamuita akamuuliza...
PADRI: Ina maana mkeo co mzuri?
Jamaa akajibu...'Ukimuona utanirudishia na chenji.
Padri alitangaza kila mtu atoe mchango kulingana na uzuri wa mke wake...bac watu wakaanza kutoa 50,000/=, 30,000/= na 20,000/=
Kuna jamaa akatoa 500/=
Padri akamuita akamuuliza...
PADRI: Ina maana mkeo co mzuri?
Jamaa akajibu...'Ukimuona utanirudishia na chenji.